Kanda

IAA watangaza udhamini wa masomo kozi 5 mpya

KATIKA kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan, Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kimetangaza udhamini wa masomo katika kozi…

Soma Zaidi »

‘Zingatieni muongozo wa manunuzi kuongeza tija’

WATAALAM kutoka idara mbalimbali mkoani Mtwara, wametakiwa kuzingatia muongozo wa manunuzi wanaopatiwa sasa ili kuongeza tija katika eneo la manunuzi…

Soma Zaidi »

Sh Bil 1.6 kumaliza kero ya maji vijiji 3 Kilolo

WANANCHI katika Vijiji vitatu vya Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, wanatarajiwa kunufaika na mradi wa maji wa Masalali, Masege na…

Soma Zaidi »

TASAC yapongeza ukarabati bandari ya Bukoba

BODI ya Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC),  imefanya ziara katika Bandari ya Bukoba na kuipongeza serikali kwa  hatua…

Soma Zaidi »

Rais Samia amfuta kazi Katibu Mkuu Wizara ya Maji

DODOMA: Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi  Nadhifa Kemikimba kuanzia leo Agosti 18,…

Soma Zaidi »

Takukuru yataka trafiki wabadilishwe vituo

KATAVI; Mpanda. TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa Katavi, imependekeza kubadilishwa vituo vya kazi kwa askari…

Soma Zaidi »

Kesi ya askari polisi Mtwara yaanza kusikilizwa Mahakama Kuu

MTWARA: Kesi ya mauaji inayowakabili Maafisa saba wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara imeanza kusikilizwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania…

Soma Zaidi »

Miti 900,000 yapandwa kuboresha mazingira Mbogwe

HALMASHAURI ya Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita imefanikiwa kupanda miti 913,125 kwa mwaka wa fedha 2022/23 sawa na asilimia 60.9…

Soma Zaidi »

Waziri Ulega aipongeza Tulia Trust

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amepongeza juhudi zinazofanywa na Taasisi ya Tulia Trust kwa kuwezesha vijana kukabiliana na…

Soma Zaidi »

Vituo 17 vya utafiti kuboreshwa miundombinu

VITUO 17 vya Utafiti wa Kilimo Tanzania vitawekwa miundombinu ya umwagiliaji, ili viweze kufanya shughuli zake za kiutafiti pamoja na…

Soma Zaidi »
Back to top button