Utalii

Bunge: miradi ya utalii kukuza Pato la Taifa kwa 17%

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Ally Juma Makoa amesema kuwa miradi ya uendelezaji…

Soma Zaidi »

Mbio za Serengeti za hitimishwa Bunda

NAIBU Waziri wa Utalii, Mary Masanja amewataka Wananchi wanaoishi Kanda ya Ziwa kutumia ipasavyo fursa zinazotokana na Serengeti Safari Marathon…

Soma Zaidi »

Helikopta sasa kutua Mlima Kilimanjaro

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imesema imeridhishwa na miundombinu ya utalii ikiwemo viwanja vya kutua…

Soma Zaidi »

TASAC yatoa elimu ya usalama, mazingira Moro

Shirika la Uwakala wa Meli nchini (TASAC) limetoa elimu ya ulinzi, na utunzaji wa mazingira kwa wananchi wa wilaya ya…

Soma Zaidi »

Jubilee Insurance yaja na bima ahueni kwa waongoza utalii

Kampuni ya Bima ya Jubilee imezindua huduma ya bima kwa makampuni ya utalii nchini Tanzania. Hatua hiyo itasaidia makampuni ya…

Soma Zaidi »

Tanzania yaongoza kwa nyati wengi Afrika

TANZANIA inatajwa kuwa nchi inayongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya nyati barani Afrika kwa kuwa na jumla ya nyati…

Soma Zaidi »

‘Sekta binafsi kichocheo kuimarisha utalii’

MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango, amesema serikali inatambua umuhimu wa sekta binafsi kama kichocheo cha kuimarisha sekta ya utalii…

Soma Zaidi »

Tanzania yang’ara tuzo za utalii Afrika

HIFADHI ya Taifa Serengeti imeshinda tuzo ya Hifadhi Bora Afrika kwa mwaka 2022 na kuifanya hifadhi hiyo kuwa hifadhi bora…

Soma Zaidi »

Katavi waja kivingine, kilimo, utalii

MKOA wa Katavi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo na utalii, imeandaa maadhimisho ya wiki ya mwana…

Soma Zaidi »

SMZ kubadili mwelekeo wa utalii

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imejipanga kubadili mwelekeo wa utalii kutoka katika maeneo ya fukwe na kwenda katika…

Soma Zaidi »
Back to top button