Utalii

Royal Tour yazidi kutakata, Waisrael waipigia chapuo Tanzania

MKURUGENZI Mtendaji wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA), Christine Mwakatobe amesema jumla ya watalii 527 wamerejea Israel…

Soma Zaidi »

Dk Abbas atamani mafanikio TAWA

KATIBU Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk Hassan Abbasi amesema anatamani kuona Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA),…

Soma Zaidi »

Serikali yaingiza Sh milion 68 utalii Arusha

SERIKALI imengiza Sh milioni 68 kuanzia Julai, 2022 hadi Februari, 2023 badaa ya watalii zaidi ya 12,000 kutembelea Hifadhi ya Msitu…

Soma Zaidi »

Wanahabari kimataifa kutembelea hifadhi Tanzania

FILAMU ya royal tour imeanza kuonesha mfanikio nchini, ambapo waandishi wa habari wa kimataifa 24 kutoka nje ya nchi watatembelea…

Soma Zaidi »

Barabara Hifadhi  ya Ruaha yawaibua tena wadau

WADAU wa utalii wameendelea kuiomba serikali kuharakisha ujenzi wa barabara ya lami kuelekea hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ubovu…

Soma Zaidi »

Bil 2.34/- za China kuendeleza utalii Hifadhi ya Kilimanjaro

SERIKALI ya China na Tanzania zimetiliana saini mkataba wa Dola za Kimarekani milioni moja sawa na Sh bilioni 2.34 kusaidia…

Soma Zaidi »

Wizara yawasilisha taarifa yake kamati ya bunge

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewasilisha na kujadili taarifa ya utekelezaji majukumu yake kwa Kamati ya Kudumu…

Soma Zaidi »

Wajadili ubunifu sekta ya utalii

KATIKA kuadhimisha siku ya Mwanamke Duniani, Wanawake wa Bunge la Afrika Mashariki pamoja na taasisi ya The Fungua Trust  kwa…

Soma Zaidi »

Bodi ya Wakurugenzi Ngorongoro, watembelea Ifisi

BODI ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ( NCAA)  ikiongozwa na Mwenyekiti wake Jenerali Venance Mabeyo ( Mstaafu) …

Soma Zaidi »

Mbinu zinazoweza kutumika kuwaleta kwa wingi watalii

TANZANIA imejaliwa kuwa na maeneo mengi ya maliasili zikiwemo hifadhi za wanyamapori, misitu na malikale ambayo yana mchango mkubwa kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button