Utalii

Wadau utalii watakiwa kutoa huduma za viwango

WADAU wanaohusika na utalii nchini wametakiwa kutoa huduma za viwango ili kuwafanya watalii kuwa mabalozi baada ya kuja Tanzania na…

Soma Zaidi »

Waongoza utalii wazembe kuchukuliwa hatua

KATIBU Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk Hassan Abbasi amesema serikali itamchukulia hatua mwongoza utalii atakayegundulika kusababisha watalii kuondoka…

Soma Zaidi »

Royal Tour yazidi kutakata, Waisrael waipigia chapuo Tanzania

MKURUGENZI Mtendaji wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA), Christine Mwakatobe amesema jumla ya watalii 527 wamerejea Israel…

Soma Zaidi »

Dk Abbas atamani mafanikio TAWA

KATIBU Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk Hassan Abbasi amesema anatamani kuona Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA),…

Soma Zaidi »

Serikali yaingiza Sh milion 68 utalii Arusha

SERIKALI imengiza Sh milioni 68 kuanzia Julai, 2022 hadi Februari, 2023 badaa ya watalii zaidi ya 12,000 kutembelea Hifadhi ya Msitu…

Soma Zaidi »

Wanahabari kimataifa kutembelea hifadhi Tanzania

FILAMU ya royal tour imeanza kuonesha mfanikio nchini, ambapo waandishi wa habari wa kimataifa 24 kutoka nje ya nchi watatembelea…

Soma Zaidi »

Barabara Hifadhi  ya Ruaha yawaibua tena wadau

WADAU wa utalii wameendelea kuiomba serikali kuharakisha ujenzi wa barabara ya lami kuelekea hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ubovu…

Soma Zaidi »

Bil 2.34/- za China kuendeleza utalii Hifadhi ya Kilimanjaro

SERIKALI ya China na Tanzania zimetiliana saini mkataba wa Dola za Kimarekani milioni moja sawa na Sh bilioni 2.34 kusaidia…

Soma Zaidi »

Wizara yawasilisha taarifa yake kamati ya bunge

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewasilisha na kujadili taarifa ya utekelezaji majukumu yake kwa Kamati ya Kudumu…

Soma Zaidi »

Wajadili ubunifu sekta ya utalii

KATIKA kuadhimisha siku ya Mwanamke Duniani, Wanawake wa Bunge la Afrika Mashariki pamoja na taasisi ya The Fungua Trust  kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button