Utalii

Tanzania yaita wageni, utalii waimarika

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amekaribisha watu kutoka mataifa mbalimbali kuja Tanzania kwa kuwa ina wananchi wakarimu, wapenda amani, utulivu na…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Njooni muwekeze sekta ya utalii

WAZIRI Mkuu, Kassimu Majaliwa amewashauri wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwenye sekta ya utalii, kwa sababu ya amani na  utulivu na…

Soma Zaidi »

‘Royal Tour’ yazinduliwa Sweden  

Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake uliopo Sweden imezindua filamu ya Royal Tour jijini Stockholm kwa lengo la kuwavutia watalii kutembelea vivutio mbalimbali…

Soma Zaidi »

TTB, Njombe waipangia mikakati hifadhi ya Kitulo

BODI ya Utalii nchini (TTB), imepanga kuinua utalii uliopo  Nyanda za Juu  Kusini, husuani mkoa wa Njombe katika hifadhi  ya…

Soma Zaidi »

Makamu wa Rais Uganda avutiwa Makumbusho Dar

MAKAMU  wa Rais wa Uganda,  Jessica Alupo, ametembelea Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam  na kuahidi kurudi tena, ili…

Soma Zaidi »

Askari watakiwa kulinda hifadhi kwa vizazi vijavyo

ASKARI wahifadhi wa wanyamapori wametakiwa kuhakikisha wanalinda na kuhifadhi vyema rasilimali kwa ajili ya vizazi vya sasa na vizazi vijavyo.…

Soma Zaidi »

Wanawake 100,000 kuelimisha fursa za Tehama

TAASISI ya Wanawake 100,000 imepanga kuwafikia wanawake nchini na kuwaelimisha kuhusu fursa ambazo hawajazifikia hususani katika Teknolojia ya Habari na…

Soma Zaidi »

Kongamano la wanawake fursa za uchumi, utalii laja

TAASIS ya wanawake Lakimoja  imepanga kuwafikia wanawake nchini na kuwaelimisha kuhusu fursa ambazo hawajazifikia, lengo likiwa ni  kukuza uchumi wao…

Soma Zaidi »

Wastaafu wahamasishwa kufanya utalii wa ndani

Kikundi cha wastaafu kutoka kijiji cha Kididumo,  mkoani Morogoro wametembelea Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni pamoja na Kijiji cha Makumbusho…

Soma Zaidi »

TRC,TANAPA kushirikiana kukuza utalii

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC), limesema itashirikiana na  Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA), kukuza utalii wa ndani, baada ya…

Soma Zaidi »
Back to top button