Year: 2022

Dini

‘Viongozi wa dini epukeni kuchochea chuki’

ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk Donald Mtetemela, amewataka viongozi wa dini nchini kujiepusha na kauli na…

Soma Zaidi »
Kanda

Misitu, madini wapewa changamoto ya teknolojia

OFISI ya Mkuu wa Mkoa wa Geita, imeziomba taasisi zinazosimamia rasilimali misitu na madini, kuungana kuwezesha upatikanaji wa Teknolojia ya…

Soma Zaidi »
Africa

Kiongozi wa al-Shabaab auawa katika operesheni ya pamoja Somalia

SERIKALI ya Somalia inasema imemuua Abdullahi Nadir, mmoja wa waanzilishi wa kundi la al-Shabab, katika operesheni na washirika wa kimataifa.…

Soma Zaidi »
Afya

Geita wavutiwa bima ya afya kwa wote

MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), mkoani Geita, Elias Odhiambo, amesema wananchi wengi wanaotembelea maonesho ya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Tutaenda kuiduwaza Yanga-Masau Bwire

TIMU ya soka ya Ruvu Shooting, imetamba kuwa itaenda kuiduwaza Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Pauni ya Uingereza yaanza kuimarika 

PAUNI ya Uingereza imeanza kuimarika baada ya serikali kusema kuwa ilikuwa ikifanya marekebisho ya mpango tata wa kupunguza kodi katika…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Waziri Mkuu Uingereza alazimika kuondoa mpango mpya wa kodi

WAZIRI Mkuu wa Uingereza Liz Truss alilazimika Jumatatu kubadilisha mipango ya kupunguza kiwango cha juu zaidi cha ushuru wa mapato…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Bujiku Mwenyekiti mpya CCM Ilemela

YUSUPH Bujiku ameibuka kuwa Mwenyekiti mpya  wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Wilaya ya Ilemela. Msimamizi mkuu wa uchaguzi huo, Wilaya ya…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Bega Mwenyekiti mpya CCM Nyamagana

PETER Bega ameibuka kuwa Mwenyekiti mpya  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nyamagana. Msimamizi mkuu wa uchaguzi huo, Wilaya…

Soma Zaidi »
Chaguzi

CCM Simiyu watakiwa kuvunja makundi

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa ngazi ya wilaya, wameombwa kuachana na makundi waliyokuwa nayo, wakati…

Soma Zaidi »
Back to top button