Year: 2022

Tanzania

Hatua muhimu bwawa la umeme Nyerere leo

RAIS Samia Suluhu Hassan leo atazindua ujazaji maji katika bwawa la kufua umeme kwenye Mradi wa Kufua Umeme wa Julius…

Soma Zaidi »
Tanzania

TFS yapoteza askari sita kwa mwaka

JESHI la Uhifadhi la Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Desemba mwaka huu,…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Azam yakwama Geita

AZAM FC imeendelea kuvutwa shati baada ya kutoka sare ya kufungana bao 1-1 na Geita Gold FC, katika mchezo wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kilo 2,584 dawa za kulevya zateketezwa Dar

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na  Dawa za Kelevya (DCEA), imeteketeza  kilo 2,584.55 za dawa za kulevya. Kazi hiyo imefanyika…

Soma Zaidi »
Jamii

Aweso atoa maagizo suala la maji Kawe

WAZIRI wa maji, Jumaa Aweso amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga kuipa Mamlaka ya Maji na Usafi…

Soma Zaidi »
Afya

Muhimbili waanza kutoa huduma kupunguza uzito

HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili-Mloganzila,iliyopo jijini Dar es Salaam,  imeanza kutoa huduma ya kupunguza uzito uliokithiri, ikiwa ni hatua ya…

Soma Zaidi »
Kanda

‘Askari 6 uhifadhi wameuawa mwaka 2022’

JESHI la Uhifadhi la Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Desemba, 2022, limepoteza…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Walioanza kujipitisha ubunge, udiwani waonywa

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Geita, Nicolous Kasendamila, amekemea wanachama kuanza kampeni za kunyemelea nafasi za udiwani na…

Soma Zaidi »
Biashara

TPA yaweka wazi tarehe ya kuanza usimamizi wa ‘TICTS’

MAMLAKA ya Usimamizi Bandari nchini (TPA) imesema itachukua rasmi usimamizi wa eneo lilokuwa likiendeshwa na Kampuni Binafsi ya Kimataifa ya…

Soma Zaidi »
Kanda

Adakwa akidai ni mshauri wa Rais Samia mambo ya kijeshi

POLISI Mkoa wa Tanga imefanikiwa kumkamata mkazi wa Dar es Salaam, Zainabu Kagoso (50), akidaiwa kujitambulisha kuwa ni mshauri wa…

Soma Zaidi »
Back to top button