Year: 2022

Biashara

Zaidi ya magari 2000 hupakuliwa bandari ya Dar kila siku

MAMLAKA ya Bandari nchini (TPA) imesema inapokea zaidi ya magari 2,000 kila siku kupitia Bandari ya Dar es Salaam ambapo…

Soma Zaidi »
Dodoma

Mavunde ashukuru uanzishwaji shule mpya Kata ya Mpunguzi

MBUNGE wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amemshukuru Rais  Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia madarasa ya uanzishwaji wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Dulla Makabila aitwa Basata kuhusu wimbo Pita Huku

Baraza la Sanaa la Taifa (Basata, limemtaka msanii Abdallah Ahmed ‘Dullah Makabila’ kufika katika ofisi za baraza hilo kujadili wimbo…

Soma Zaidi »
Utamaduni

Ufahamu Usiku wa Yalda wa Irani

MOJA ya sherehe kongwe zaidi za Kiajemi, Shab-e Yalda (Usiku wa Yalda), ambayo wakati mwingine hujulikana kama Shab-e Chelleh, huadhimishwa…

Soma Zaidi »
Uchumi

Tanzania, Burundi zampa mtu binafsi kujenga SGR

SERIKALI za Tanzania na Burundi zimeshasaini makubaliano ya kujenga Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Uvinza hadi Gitega kupitia machimbo ya…

Soma Zaidi »
Utalii

Majaliwa apokea magari 51 uboreshaji uhifadhi wa utalii

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amepokea magari 51 ambayo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa msaada wa dharura wa uboreshaji…

Soma Zaidi »
Biashara

Biashara ya nguo yadorora kuelekea sikukuu

ZIKIWA zimebaki siku nne kuadhimishwa kwa sikukuu ya Krismasi, wafanyabiashara wa nguo mkoani Dar es Salaam wamesema biashara ya bidhaa…

Soma Zaidi »
Africa

Walimu watatu wasota jela makosa ya mitihani

WALIMU watatu nchini Uganda; Robert Mubiru, Wenecelaus Twongereirwe na Vincent Atukwase wanaokabiliwa na kesi ya kuvujisha mtihani nchini humo wameendelea…

Soma Zaidi »
Jamii

‘Hakuna mwanafunzi Dar atakayeshindwa kuanza shule’

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema hakuna mwanafunzi kuanzia shule ya awali, msingi wala sekondari jijini…

Soma Zaidi »
Podcast

HABARI KUU: Desemba 20, 2022

Mkusanyiko wa habari kuu zilizotufikia katika chumba cha HabariLEO Desemba 20, 2022

Soma Zaidi »
Back to top button