Year: 2022

Kanda

Waziri Mkuu amsimamisha kazi Mkurugezi MUWASA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa {TAKUKURU} mkoa wa Katavi awachunguze watumishi…

Soma Zaidi »
Jamii

‘Asilimia 21 wanafunzi la saba hawana ufaulu mzuri’

ASILIMIA 21 ya wanafunzi wa darasa la saba, wanamaliza bila kupata ufaulu wa kuwawezesha kujiunga na kidato cha kwanza. Haya…

Soma Zaidi »
Africa

Kongamano EAC-2022 kukutanisha wafanyabiashara vijana 2000

KONGAMANO la Viongozi wa Biashara la Vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC 2022) linaloanza leo linawakutanisha wafanyabiashara vijana 2000…

Soma Zaidi »
Africa

Maonesho Juakali EAC yakonga mawaziri Tanzania, Uganda

WAZIRI Mkuu wa Uganda, Robinah Nabbanja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi…

Soma Zaidi »
Africa

Mfumo kukabili majanga EAC waonesha mafanikio

NCHI za Afrika Mashariki zimeanzisha mfumo maalumu wa kukabiliana na majanga unaojulikana kama East Africa Hazards Watch (EAHW) unaolenga kutoa…

Soma Zaidi »
Uchumi

Machinga sasa kutumia EFDs

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kodi Kariakoo, umeanza kusajili wamachinga wote wanaofanya biashara katika eneo la Kariakoo kutumia…

Soma Zaidi »
Fedha

Serikali yataka andiko umri wa kustaafu wahadhiri

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango ameagiza jumuiya ya vyuo vikuu nchini kukaa pamoja kujadili umri wa kustaafu kwa wahadhiri…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Jinsi Kituo cha kujifunza kwa vitendo kinaweza kuboresha upatikanaji wa wahitimu wenye ujuzi wa kutosha

Miongoni mwa maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza mara nyingi ni namna ambavyo sekta ya TEHAMA inaathirika kutokana na kutokuwepo kwa muunganiko…

Soma Zaidi »
Tanzania

Watumishi wa umma waonywa utoro sikukuu

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Deo Ndejembi amewataka watumishi wa umma nchini, kuacha tabia ya kutoroka…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Viongozi wa michezo wafundwa Utawala Bora

VIONGOZI wa michezo nchini wametakiwa kuwa na kanuni za wazi za fedha katika vyama au mashirikisho yao, ili kuweka uwazi…

Soma Zaidi »
Back to top button