Year: 2022

Jamii

Aliyeshinda kesi ya mashamba auawa kwa kukatwa mapanga

MKAZI wa Kijiji cha Malulu, Kata ya Didia Halmashauri ya Shinyanga, Shoma Moshi (50) ameuawa na watu wasiojulikana kwa kukatwa…

Soma Zaidi »
Afya

Wilaya ya Tanganyika waitikia chanjo Uviko-19

HALMASHAURI ya Wilaya ya Tanganyika, Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Taasisi ya Benjamini Mkapa, imefanikisha chanjo ya Uviko-19 kwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Majaliwa: Sensa imefanikiwa asilimia 99.9

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema zoezi la Sensa ya Watu na Makazi limefanikiwa kwa asilimia 99.9. Akizungumza katika katika hafla…

Soma Zaidi »
Afya

‘Viongozi wa dini zungumzieni suala la lishe’

NAIBU Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel, amewaomba viongozi wa dini nchini kushirikiana na serikali kutoa elimu ya lishe bora…

Soma Zaidi »
Dodoma

Wavamizi maeneo ya hifadhi waonywa Geita

SERIKALI wilayani Geita mkoani hapa, imetoa onyo kali kwa wananchi wanaoendelea kukiuka kanuni na sheria za mazingira kwa kuendesha shughuli…

Soma Zaidi »
Jamii

Tanzania kuna majengo milioni 14

WAKATI idadi ya Watanzania ni milioni 61. 74 pia kuna jumla ya majengo milioni 14. 3 Hayo yamesemwa na Rais…

Soma Zaidi »
Kanda

ALAF yasaidia mabati 269 ujenzi wa madarasa Newala

KAMPUNI ya uzalishaji wa mabati ya ALAF, imetoa msaada wa mabati 269 kwa Halmshauri ya Newala, mkoani Mtwara. Mabati hayo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Zanzibar kuna watu 1,889,773

WAKATI idadi ya Watanzania wote ni 61,741,120, Zanzibar kuna watu 1,889,773 Hayo yamebainishwa na Rais Samia Suluhu Hassan, muda mfupi…

Soma Zaidi »
Dodoma

Wanawake ni asilimia 51 Tanzania

WAKATI idadi ya Watanzania wote ni 61,741,120, idadi ya wanawake ni 31,687,990 sawa na asilimia 51 ya watu wote na…

Soma Zaidi »
Dodoma

Idadi ya Watanzania ni 61,741,120

Idadi ya Watanzania ni 61,741,120. Hayo yamebainishwa na Rais Samia Suluhu Hassan, muda mfupi uliopita wakati akitangaza matokeo ya  sensa…

Soma Zaidi »
Back to top button