Year: 2023

Michezo na Burudani

Yanga yalimwa faini Sh milioni 2

Klabu ya Yanga imetozwa faini ya Sh milioni 2 na Bodi ya Ligi Kuu kwa makosa mawili. Katika mchezo dhidi…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Tuzo za MTV EMA 2023 zasitishwa

SHEREHE za ugawaji wa tuzo za muziki MTV EMA zilizopangwa kufanyika Paris, Ufaransa Novemba 5 mwaka huu zimesitishwa. – Kwa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Kamwe apigwa faini Sh milioni 1

OFISA Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe amepigwa faini ya Sh milioni 1 na Bodi ya Ligi kwa…

Soma Zaidi »
Biashara

Maonesho biashara Afrika Mashariki yazinduliwa leo

MAONESHO ya 24 ya Biashara ya AfriKa Mashariki ya kuonesha bidhaa mbalimbali ambazo zinazalishwa ndani ya nchi na nje ya…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Tanzania, Marekani kushirikiana kibiashara

DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Tanzania na Marekani zimeingia makubaliano ya majadiliano ya kibiashara yatakayosaidia upatikanaji wa masoko ya bidhaa.…

Soma Zaidi »
Madini

Wapigwa marufuku kuajiri watoto migodini

WAMILIKI migodi ya madini wilayani Mbogwe wametakiwa kuacha mara moja tabia ya kuajiri watoto wadogo kushiriki shughuli za migodini kwa…

Soma Zaidi »
Afya

Taarifa zisizo sahihi afya ya uzazi zinagharimu vijana

TAARIFA zisizosahihi kuhusu masuala ya uzazi imetajwa kugharimu maisha ya vijana wengi kutokana na imani mbalimbali ambazo zinazuka katika jamii.…

Soma Zaidi »
Tanzania

ATCL kudhibiti gharama za uendeshaji

SERIKALI imelitaka Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kuhakikisha linapanga mikakati madhubuti itakaloliwezewesha kukua na kujiendesha kwa tija baada ya uwekezaji…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Wafanyabiashara China kuwekeza Kigoma

SERIKALI ya China imesema kuwa inaangalia fursa za uwekezaji kwenye nyanja ya kilimo na viwanda iliyopo mkoani Kigoma ili kuwezesha…

Soma Zaidi »
Biashara

Teknolojia za kisasa suluhisho ukuaji uchumi

TANZANIA inalenga kutumia teknolojia za kisasa na kibunifu sambamba na kufanya kazi na wawekezaji ambao wataleta suluhisho kwenye ukuaji wa…

Soma Zaidi »
Back to top button