Year: 2024

Kimataifa

Namibia yapata rais mwanamke

NAMIBIA : HATIMAYE  wananchi wa Namibia wamemchagua rais wa kwanza mwanamke baada ya chama tawala cha SWAPO kutangazwa mshindi wa…

Soma Zaidi »
Infographics

SADC, EAC watakiwa kuainisha mikakati utekelezaji miradi

NCHI za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Jangwa la Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimetakiwa kuainisha mikakati…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wajadili mikakati uzalishaji miche ya korosho

KITUO cha Utafiti wa Kilimo (TARI) Naliendele mkoani Mtwara  kimejadili mpango mkakati wa kuzalisha miche bora ya korosho milioni mbili…

Soma Zaidi »
Featured

Wizara ya Elimu yapokea vyuo kumi vya ufundi

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Daniel Mushi amepokea Vyuo kumi vya Ufundi Stadi na Marekebisho…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Odinga kugombea uenyekiti wa Tume AU

KENYA : WAZIRI Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga, amepanga kushiriki katika mdahalo wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Bil 27/- kutekeleza miradi ya maendeleo Kahama

NAIBU Waziri  Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  (Tamisemi) Zainabu Katimba amesema miradi  yote kwa Manispaa…

Soma Zaidi »
Infographics

KENYA: Mgomo wa madaktari kuanza 22 Desemba

KENYA : UMOJA wa Madaktari nchini Kenya umetangaza kuanza mgomo wa siku 21, utakaofanyika kuanzia tarehe 22 Desemba, ikiwa serikali…

Soma Zaidi »
Featured

Rais Samia ataka sheria, umakini barabarani

RAIS Samia ameliagiza Jeshi la Polisi kuhakikisha madereva wanaongeza umakini na kuzingatia sheria za barabarani katika kipindi hiki cha mwisho…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mkutano wa kikanda matumizi ya nishati waanza Arusha

MKUTANO wa kikanda wa matumizi bora ya nishati unaojumuisha viongozi na wadau mbalimbali kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki…

Soma Zaidi »
Featured

Tanzania ya kwanza kuwasilisha miradi Mfuko Hasara, Upotevu

TANZANIA imekabidhi mapendekezo ya maandiko ya mradi 3, kwa ajili ya kuombea fedha kutoka katika Mfuko wa Hasara na Upotevu…

Soma Zaidi »
Back to top button