Year: 2026

Tanzania

Kizimbani kwa kuingiza magari bila utaratibu

DAR ES SALAAM: WAFANYABIASHARA watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Kinondoni Dar es salaam wakikabiliwa na mashitaka…

Soma Zaidi »
Jamii

THRDC yatoa neno mauaji ya Baozhang Ge

DAR ES SALAAM: MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umekemea vikali mauaji ya aliyekuwa mmliki wa kiwanda…

Soma Zaidi »
Uwekezajia

PPP imeleta mapinduzi safari za kwenda Makka 🌙

DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Kituo Cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC ) David Kafulila amesema…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mradi bil 5/- kuing’arisha Lundamatwe

IRINGA: Diwani wa Kata ya Ilole, Erick Kikoti ameendelea kuimarisha mawasiliano kati ya viongozi na wananchi kupitia ziara ya kijiji…

Soma Zaidi »
Biashara

Bei za mbuzi zapanda Dar

WAKATI Waislamu duniani wakijiandaa kuadhimisha Sikukuu ya Eid al-Adha inayohusisha ibada ya kuchinja wanyama, wafanyabiashara wa mifugo katika Soko la…

Soma Zaidi »
Afya

Rafiki wa Binti waweka nguvu Afya ya Hedhi

PWANI; MPANGO wa Rafiki wa Binti umezindua wimbo maalumu wa  kielimu wa Afya ya Hedhi ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Madiwani Temeke wataka miradi yenye ubora

DAR E SALAAM: BARAZA la Madiwani Manispaa ya Temeke limewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi wilayani humo kufanya hivyo kwa ubora na…

Soma Zaidi »
Bunge

Wizara yajivunia taswira, heshima ya Tanzania kimataifa

DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema kufuatia utekelezaji wa vipaumbele vya wizara na kwa…

Soma Zaidi »
Bunge

‘Msimamo wa Tanzania ni kutofungamana na upande wowote’

DODOMA; WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema  Tanzania inaendelea kudumisha misingi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mmepewa elimu ifikisheni kwa jamii

DAR ES SALAAM: SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limewapa elimu waandishi wa habari nchini kutumia taaluma yao kuwa…

Soma Zaidi »
Back to top button