Year: 2026

Tanzania

Flaviana ahimiza uzalendo bidhaa za ndani

DAR ES SALAAM: Mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata, amewataka Watanzania kujivunia na kupenda bidhaa za ndani ili kuchochea ukuaji wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mbio kubwa za Ruaha kuanza Julai 4

DAR ES SALAAM: Kadri siku zinavyosogea kuelekea mwezi Julai, macho ya Watanzania na dunia yanaelekezwa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Chizenga ataka amani ya nchi itunzwe

KATIKA kipindi ambacho Tanzania inapitia changamoto za kijamii na kisiasa zinazoambatana na tofauti za mitazamo na fikra, viongozi wa dini…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Mabalozi watakiwa kutangaza fursa za kibiashara

DAR ES SALAAM: Wizara ya Viwanda na Biashara imejipanga kuimarisha ushirikiano na uhusiano wa kibiashara na mabalozi wa Tanzania nje…

Soma Zaidi »
Tanzania

Sh bilioni 15 zanufaisha wakulima kila mwaka

DAR E SALAAM: ZAIDI ya Sh bilioni 15 zinatolewa kila mwaka kwa ajili ya kuwasaidia wakulima zaidi ya 600 nchi…

Soma Zaidi »
Fedha

Equity yafungua tawi Ubungo kuwakutanisha wafanyabiashara

DAR ES SALAAM: Benki ya Equity imezindua tawi jipya katika eneo la Ubungo, jijini Dar es Salaam, ndani ya jengo…

Soma Zaidi »
Featured

Miradi ya gesi Mtwara yaikosha kamati ya Baraza la Wawakilishi

DODOMA: Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Uchumi na Uwekezaji Zanzibar imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya gesi asilia…

Soma Zaidi »
Bunge

Kamati yataka maboresho mfumo wa ajira

DODOMA: Serikali imeshauriwa kuboresha mfumo wa ajira nchini kwa kuruhusu waombaji wenye sifa na vyeti vya ngazi mbalimbali kushiriki katika…

Soma Zaidi »
Bunge

Mipango yasukwa kuimaliza rushwa

DODOMA: Serikali imepanga kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuimarisha mapambano dhidi ya rushwa katika mwaka wa fedha 2026/27, ikiwemo kufanya utafiti…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wananchi 150,000 wanufaika kituo cha kupoza umeme

GEITA: ZAIDI ya wananchi 150,000 katika Mkoa wa Geita wanapata huduma ya umeme, ikiwa ni ongezeko kubwa kutoka wateja takribani…

Soma Zaidi »
Back to top button