Na Mwandishi Wetu

Bunge

Mabadiliko sera za washirika kuathiri mpango na bejeti

DODOMA; SERIKALI imesema uchambuzi wa awali uliofanywa unaonesha kuwa utekelezaji wa mpango na bajeti ya Serikali kwa mwaka 2025/26 na…

Soma Zaidi »
Infographics

Amani, demokrasia vyatajwa ufanisi Mpango Maendeleo

DODOMA; SERIKALI imesema ufanisi wa utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2026/27 utajengwa katika misingi mbalimbali ikiwemo…

Soma Zaidi »
Infographics

Mawaziri kuwasilisha utekelezaji kila miezi 3

DODOMA; SERIKALI imesema imeandaa mfumo wa ufuatiliaji na upimaji unaozingatia kupima matokeo na uwajibikaji. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais…

Soma Zaidi »
Biashara

Sh Tril 477 kugharamia Mpango wa Maendeleo

DODOMA; SERIKALI imesema gharama za utekelezaji wa Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano zinakadiriwa kuwa Sh…

Soma Zaidi »
Bunge

Ukuaji Pato la Taifa kufikia asilimia 6.9

wa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka 2025 na kuongezeka hadi asilimia 6.3 mwaka 2026 na asilimia 6.9 katika kipindi cha…

Soma Zaidi »
Bunge

Mfuko wa akiba wa Taifa kuanzishwa

DODOMA; SERIKALI imesema katika kujenga uchumi imara, jumuishi na shindani, pamoja na hatua zingine, Mpango wa Mendeleo umeelekeza kuanzisha mfuko…

Soma Zaidi »
Bunge

Waalikwa kuwekeza kiwanda cha Kahawa Nyasa

DODOMA; WIZARA ya Viwanda na Biashara imewaita wawekezaji wenye nia ya kuwekeza katika kiwanda cha kukoboa kahawa kilichopo Wilaya ya…

Soma Zaidi »
Bunge

‘Ni mara ya kwanza kuandaa dira na mpango wakati mmoja’

DODOMA; SERIKALI imesema hii ni mara kwanza kwa nchi Tanzania kuandaa dira na mpango elekezi kwa wakati mmoja. Kauli hiyo…

Soma Zaidi »
Bunge

Nape aulizia ujenzi SGR Dar-Kusini

DODOMA; MBUNGE wa Mtama, Nape Nnauye ameuliza bungeni serikali haioni haja ya kuanza upembuzi wa ujenzi wa reli ya SGR…

Soma Zaidi »
Bunge

Minara 1,041 imejengwa ndani ya miaka 4

DODOMA; SERIKALI imesema katika kipindi cha miaka minne jumla ya minara 1,041 imejengwa na inatoa huduma za mawasiliano kwa wananchi.…

Soma Zaidi »
Back to top button