Na Halima Mlacha, Singida

Chaguzi

CCM kuimarisha sekta ya madini Singida

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kwamba katika kipindi cha miaka mitano ijayo, endapo kitapewa ridhaa ya kuendelea kuongoza nchi, kitaimarisha…

Soma Zaidi »
Siasa

Kairuki ataka Kibamba wafanye kweli Oktoba 29

DAR ES SALAAM:MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Angellah Kairuki, amesema kwa kazi kubwa iliyofanywa…

Soma Zaidi »
Featured

Viongozi wa dini nguzo ya amani uchaguzi mkuu

WATANZANIA wakiwa wamebakiza siku 16 kuanzia leo ili kuingia katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa wagombea wa nafasi mbalimbali kuanzia…

Soma Zaidi »
Siasa

‘Nimewajengea heshima wananchi Kigoma’

KIGOMA; Mgombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa miaka 15 ambayo amekuwa…

Soma Zaidi »
Jamii

Watakiwa kutoa mapendekezo yenye tija usimamizi maafa

MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala amewataka…

Soma Zaidi »
Afya

NLD yaja na mfumo bima ya afya kwa wote

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo amesema serikali yake itapunguza posho za…

Soma Zaidi »
Featured

INEC yafuta vituo 292, yatengua wagombea saba

TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imefuta vituo 292 vya kupigia kura. INEC pia imetengua uteuzi wa wagombea udiwani…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Samia ajivunia makubwa ya CCM kwa nchi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimefanya makubwa kwa nchi ya Tanzania. Mwenyekiti wa CCM ambaye ni mgombea urais kupitia chama…

Soma Zaidi »
Featured

Samia: Vijana lindeni amani

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameagiza vijana walinde amani na waipende nchi yao.…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Samia atoa somo wanaodharau wanawake

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametaka watu wasibeze kuongozwa na rais mwanamke, kwani…

Soma Zaidi »
Back to top button