Shununa Haji

Tanzania

Majaliwa atoa maagizo kwa Mamlaka Sekta ya Habari

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa sekta ya habari ziendelee kusimamia vyombo vya habari lakini pia…

Soma Zaidi »
Sanaa

Wasanii washindwe wenyewe tu!

DAR ES SALAAM: Filamu zaidi ya 120 za wasanii wa Tanzania zimenunuliwa na chanel mpya ya St Swahili Plus chini…

Soma Zaidi »
Afya

Ummy: Acheni matumizi holela ya dawa

TANGA: Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameitaka jamii kuacha matumizi holela ya dawa za antibiotik ili kuepuka usugu wa vimelea…

Soma Zaidi »
Jamii

Serikali yajenga daraja Ruhembe

MOROGORO: WANANCHI wa Kata za Ruhembe, Kidodi, Uwembe, Vidunda, Mikumi na Kilolo waliokuwa wakiteseka kwa muda mrefu kusafiri umbali mrefu…

Soma Zaidi »
Infographics

Wizara ya Viwanda yaomba kuidhinishwa Sh bil 110.9

DODOMA: WIZARA ya Viwanda na Biashara imeliomba Bunge kuidhinisha bajeti ya Sh bilioni 110.9 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ili…

Soma Zaidi »
Afya

‘Watanzania changieni damu uhitaji ni mkubwa’

DAR ES SALAAM: MPANGO wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) umewahamiza watanzania kujitolea kuchangia damu ili kutatua changamoto ya upatikanaji…

Soma Zaidi »
Biashara

DC Lushoto ataka mikakati mazao ya biashara

TANGA: MKUU wa Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga Japhari Kubecha amewaelekeza maofisa kilimo wa wilaya hiyo kuandaa mpango mkakati wa…

Soma Zaidi »
Jamii

RC Mtanda: lipeni bili za maji

MWANZA: MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ametoa wito kwa watumiaji wa huduma ya maji mkoani Mwanza pamoja na…

Soma Zaidi »
Jamii

Vijana Mbogwe watakiwa kumlinda na kumtetea Rais Samia

GEITA: Vijana wa Mbogwe mkoani Geita wametakiwa kuunga mkono jitihada za maendeleo zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa ni…

Soma Zaidi »
Jamii

Maharage meusi hayasababishi gesi tumboni

ARUSHA: WATAFITI wameshauriwa kutumia maharage meusi kwa ajili ya kutengenezea mbegu za maharage ambayo hayasababishi gesi tumboni. Ushauri huo umetolewa…

Soma Zaidi »
Back to top button