Shununa Haji

Infographics

Wizara ya Viwanda yaomba kuidhinishwa Sh bil 110.9

DODOMA: WIZARA ya Viwanda na Biashara imeliomba Bunge kuidhinisha bajeti ya Sh bilioni 110.9 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ili…

Soma Zaidi »
Afya

‘Watanzania changieni damu uhitaji ni mkubwa’

DAR ES SALAAM: MPANGO wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) umewahamiza watanzania kujitolea kuchangia damu ili kutatua changamoto ya upatikanaji…

Soma Zaidi »
Biashara

DC Lushoto ataka mikakati mazao ya biashara

TANGA: MKUU wa Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga Japhari Kubecha amewaelekeza maofisa kilimo wa wilaya hiyo kuandaa mpango mkakati wa…

Soma Zaidi »
Jamii

RC Mtanda: lipeni bili za maji

MWANZA: MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ametoa wito kwa watumiaji wa huduma ya maji mkoani Mwanza pamoja na…

Soma Zaidi »
Jamii

Vijana Mbogwe watakiwa kumlinda na kumtetea Rais Samia

GEITA: Vijana wa Mbogwe mkoani Geita wametakiwa kuunga mkono jitihada za maendeleo zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa ni…

Soma Zaidi »
Jamii

Maharage meusi hayasababishi gesi tumboni

ARUSHA: WATAFITI wameshauriwa kutumia maharage meusi kwa ajili ya kutengenezea mbegu za maharage ambayo hayasababishi gesi tumboni. Ushauri huo umetolewa…

Soma Zaidi »
Jamii

Fursa kimaisha zimeongezeka – Paulina Onna

DAR ES SALAAM: MKE wa msanii Dogo Janja anayejulikana kwa jina la Paulina Onna maarufu ‘Quenlinnatotoo’amesema amesema baada ya kupata…

Soma Zaidi »
Mahusiano

Paulina Onna, Janjaro kumbe walikutana angani

DAR ES SALAAM: MKE wa msanii wa Hip Hop Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ anayeitwa Paulina Onna maarufu ‘Quenlinnatotoo’ameiambia HabariLEO kuwa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

‘Kama unaweza kumfunga Yanga 4 yeye atakufunga 6’

ARUSHA: Kocha wa Ihefu Fc Mecky Mexime amesema ili kujisifu una timu bora ni lazima ucheze na timu yenye bora…

Soma Zaidi »
Afya

Waganga,wafamasia fuatilieni matumizi ya dawa

KATAVI: Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amewaagiza waganga Wakuu wa Wilaya na Wafamasia kufuatilia matumizi sahihi ya bidhaa…

Soma Zaidi »
Back to top button