Ismaily Kawambwa

Tanzania

Majaliwa kuongoza mapokezi ndege mpya

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo anatarajiwa kuongoza mapokezi ya ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737-Max9…

Soma Zaidi »
Jamii

Watangazaji waongoza kuharibu Kiswahili

DAR ES SALAAM: Watangazaji wa radio na runinga wametajwa kuongoza kukidhalilisha Kiswahili huku wamiliki wa vyombo vya Habari wakilaumiwa kuajiri…

Soma Zaidi »
Siasa

Marais wastaafu wataka usiri

ZANZIBAR: HATIMAE Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk Salmin Amour Juma kwa mara ya kwanza ameonekana adharani baada ya miaka kadhaa…

Soma Zaidi »
Jamii

Wafanyakazi wa majumbani waitwa Tuzo ya Mwalimu Nyerere

DAR ES SALAAM:.Wafanyakazi wa majumbani, Polisi pamoja na Wauguzi wameelezwa kujitosa katika Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Putin kuwashughulikia wahusika shambulizi lililouwa watu 115

KREMLIN, Urusi: RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amewatahadharisha wahusika wa shambulizi lililowaua watu zaidi ya 115 eneo la Crocus City…

Soma Zaidi »
Infographics

Asilimia 29 watoto chini ya miaka minane wana uelekeo sahihi ukuaji Mtwara

MTWARA: Utafiti uliofanywa na Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS) mwaka 2022/2023 unaonesha asilimia 29 ya watoto kuanzia umri wa…

Soma Zaidi »
Habari Kwa Kina

Vitamani A yawaondolea watoto uoni hafifu

TATIZO la uoni hafifu kwa watoto wachanga limeonekana kupata ufumbuzi na kuhakikisha wajawazito na watoto wanaendelea kupata huduma za afya…

Soma Zaidi »
Bunge

‘Wabunge hawajapandishwa mshahara’

DODOMA: OFISI ya Bunge, kitengo cha mawasiliano imekanusha taarifa za wabunge kuongezewa mishahara kutoka Sh milioni 13 hadi 18. Taarifa…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Vifo shambulio la kigaidi Moscow vyafikia 115

MOSCOW, Russia: KAMATI ya Uchunguzi ya Urusi imetangaza kuwa idadi ya watu waliouawa kutokana na shambulio la kigaidi kwenye jumba…

Soma Zaidi »
Jamii

Wahamasisha upandaji miti, kutunza mazingira

PWANI: KLABU ya Rotary ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Taasisi ya African Youth Foundation imepanda miche ya miti…

Soma Zaidi »
Back to top button