Derick Milton, Bariadi

Biashara

Simalenga atoa onyo waliokaidi bei elekezi ya Sukari

SIMIYU: Mkuu wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Simon Simalenga amesema kuwa wafanyabiashara katika wilaya hiyo wameendelea kukaidi agizo la…

Soma Zaidi »
Sanaa

Zari atoa neno kwa Zuchu

DAR ES SALAAM; Zari Hassan ambaye ni mzazi mwenza wa msanii, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amempa sifa msanii Zuhura Othman ‘Zuchu’…

Soma Zaidi »
Jamii

“Wapeni fursa sawa watoto wenye ulemavu wa akili”

DAR ES SALAAM; Jamii imetakiwa kuhakikisha watoto wenye ulemavu wa akili wanapata fursa sawa za elimu na maendeleo katika jamii…

Soma Zaidi »
Jamii

LAAC washtukia upigaji fedha ujenzi wa hospitali

KILIMANJARO: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imetoa maelekezo kwa watendaji wa Halmashauri ya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mashabiki 48,000 kuingia bure Yanga Vs Mamelodi

DAR ES SALAAM: MENEJA Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe amesema mashabiki 48,000 wataketi bila kiingilio kushuhudia mchezo…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

”Yanga ina wachezaji bora kuliko Mamelodi“

DAR ES SALAAM: KUELEKEA mchezo wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), Meneja Habari na Mawasiliano…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Clara Luvanga mfungaji bora Saudi Arabia

JEDDAH, Saudi Arabia: MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania katika soka la wanawake, Clara Luvanga (19) ameibuka kinara wa ufungaji katika…

Soma Zaidi »
Jamii

Askari aliyetuhumiwa kumchapa mtoto na kumjeruhi aachiwa huru

SIMIYU: Mahakama ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu imemwachia huru askari, Abati Benedicto wa kituo cha Polisi Bariadi ambaye alikuwa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Ndumbaro ataka uzalendo Simba, Yanga

DAR ES SALAAM: Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo imewaonya baadhi ya Watanzania ambao wamekuwa na tabia ya kuzipokea na…

Soma Zaidi »
Uchumi

Treni binafsi za mizigo kuanza Tazara

DAR ES SALAAM: Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara) limesaini mkataba na sekta binafsi ya kuleta treni ambazo…

Soma Zaidi »
Back to top button