Na Mwandishi Wetu

Tanzania

Prof. Kahyarara atembelea Banda la TCAA

ZANZIBAR: Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi Prof. Godius Kahyarara ametembelea Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) ambapo…

Soma Zaidi »
Uchumi

Mzee Kajuna aangua kilio mbele ya Waziri Silaa

ARUSHA: Mzee Laxford Kajuna mkazi wa Njiro jijini Arusha amejikuta akitokwa na machozi mara baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba…

Soma Zaidi »
Tanzania

TANESCO waanza utekelezaji maagizo ya Rais Samia

SHIRIKA la Umeme Nchini (TANESCO) limeanza kutekeleza maagizo ya Raisi Dk Samia Suluhu Hassan ya kutaka shirika hilo kuboresha upatikanaji…

Soma Zaidi »
Jamii

21 mbaroni tuhuma wizi wa kimtandao

MANYARA: Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara linawashikilia watu 21 kwa tuhuma za kujihusisha na uhalifu wa makosa ya kimtandao…

Soma Zaidi »
Jamii

Wasiojulikana waiba mita za maji Kigoma Ujiji

KIGOMA: WIZI wa mita za maji umetokea katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Kigoma Ujiji ambapo watu wasiojulikana wamedaiwa kuiba…

Soma Zaidi »
Uchumi

Shughuli za uvuvi kusitishwa Ziwa Tanganyika

KATAVI: Wavuvi wilayani Tanganyika Mkoa wa Katavi wamekubali mpango wa serikali wa kuhuisha uvuvi ndani ya miezi mitatu katika Ziwa…

Soma Zaidi »
Jamii

Mauaji Njombe yaacha maswali, Polisi wajitosa

NJOMBE: Wananchi wa Iwawa wilayani Makete Mkoa wa Njombe wametakiwa kuacha kufanya matukio ya mauaji ambayo yamekuwa yakileta taharuki kwa…

Soma Zaidi »
Uchumi

TARI Ukiriguru watakiwa kufanya tafiti zenye uhalisia

MWANZA: Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Ukiriguru mkoani Mwanza imetakiwa kufanya utafiti unaoendana na hali halisi…

Soma Zaidi »
Jamii

Mfumo wa e-CMS kurahisisha huduma za mahakama

MOROGORO: Ofisi ya wakili mkuu wa serikali [OWMS] imeenza kutumia mfumo wa mashauri wa mahakama wa kielektroniki ili kuongeza matumizi…

Soma Zaidi »
Tanzania

OCD’s Tanga wafundwa

TANGA: Timu ya Mkoa na Wawakilishi wa Wilaya (OCD’s) mkoani Tanga leo Januari 11, 2024 imekutana na Mwenyekiti wa Timu ya…

Soma Zaidi »
Back to top button