Na Aveline Kitomary

Africa

Mashirika Afrika yatoa hoja tano uwezeshaji nishati mbadala COP28

MASHIRIKA ya Kiraia ya Afrika (CSOs) yametoa tamko lenye hoja tano kuhusu malengo ya nishati mbadala kwa Afrika katika Mkutano…

Soma Zaidi »
Tanzania

Vyuo vya Serikali msiwe mzigo kwa Serikali-Ndejembi

DODOMA: SERIKALI imevitaka vyuo vyote nchini kujiendesha kibiashara badala ya kutegemea ruzuku ya fedha za matumizi yao kutoka Serikali Kuu.…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

RC: Sayansi na Teknolojia kichocheo mapinduzi ya kilimo, viwanda, afya

DAR ES SALAAM: MAENDELEO ya sayansi na teknolojia ndani ya jamii ya watanzania yatakuwa ni kichocheo kikubwa katika mapinduzi ya…

Soma Zaidi »
Afya

Muhimbili yapeleka msaada Hanang

MANYARA: Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepeleka msaada wa dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya Sh milioni 38 ili…

Soma Zaidi »
Tanzania

Bashungwa awasili shinyanga kukagua athari za mvua

SHINYANGA: Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewasili mkoani  Shinyanga kwa ziara ya kikazi ambapo amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mikakati kuboresha sekta ya anga yajadiliwa

ARUSHA: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari amewasilisha taarifa ya utendaji ya TCAA katika…

Soma Zaidi »
Podcast

HABARI KUU

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Njia nyeupe kuifuata Stars Ivory Coast

DAR ES SALAAM: KUELEKEA michuano ya AFCON  mwakani, ambayo Taifa Stars imefuzu, wapenzi wa soka nchini wameletewa kampeni Twenzetu Ivory-Coast…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Tanzania, Uturuki kimeeleweka

DAR ES SALAAM: TANZANIA itaendelea kushirikiana na Uturuki kuimarisha uhusiano uliopo kwa manufaa ya pande zote mbili. Hayo yamesemwa leo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali kuongeza nguvu uwekezaji, sekta muhimu

ZANZIBAR: SERIKALI imesema imeweka kipaumbele kwa kuongeza uwekezaji katika elimu, afya, na huduma nyingine za kijamii pamoja na kilimo kinachozingatia…

Soma Zaidi »
Back to top button