Na Frank Leonard, Iringa

Michezo na Burudani

Maandalizi Great Ruaha Marathon Yapamba Moto

MAANDALIZI kuelekea mbio za mwendo wa pole na haraka ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (Great Ruaha Marathon 2023)…

Soma Zaidi »
Asia

Wanafunzi 20 kuweka kambi China

WANAFUNZI 20 kutoka Tanzania wamekwenda China kwa ajili ya kambi ya majira ya kiangazi kujifunza utamaduni wa kichina ambao utawahamasisha…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wanafunzi Msalala waongezewa nguvu ya ufaulu

WANAFUNZI 1643 wa Shule ya Sekondari Msalala iliyopo Halmashauri ya Nyang’hwale mkoani Geita wameongezewa hamasa ya ufaulu kwa kujengewa bweni…

Soma Zaidi »
Afya

Madaktari Uingereza waanza mgomo wa siku 3

UINGEREZA: MADAKTARI wadogo nchini Uingereza wameanza mgomo mapema leo wakionya kuwa kutakuwa na “athari kubwa katika utoaji huduma kwa wagonjwa”.…

Soma Zaidi »
Infographics

Kizanda, Mayo kuondokana na changamoto ya maji

ZAIDI ya watu 5,621 wa vijiji viwili vya Kizanda na Mayo vilivyoko katika Halmashauri ya Bumbuli wilayani Lushoto mkoani Tanga…

Soma Zaidi »
Asia

Putin atishia kutwaa maeneo mengine Ukraine

URUSI: Rais wa Urusi Vladimir Putin ametishia kuwa anaweza kuamuru wanajeshi wake kunyakua ardhi zaidi nchini Ukraine ili kulinda eneo…

Soma Zaidi »
Asia

Kuruta aua askari 2 akijifunza kutumia bunduki

JAPAN: Mwanafunzi wa jeshi mwenye umri wa miaka 18 aliwapiga risasi wanajeshi wenzake watatu kwenye eneo la kufyatulia risasi katika…

Soma Zaidi »
Africa

Museveni mambo shwari

UGANDA: RAIS Yoweri Museveni anatarajiwa kufanyiwa kipimo cha mwisho cha Covid-19 kesho ili kubaini kama amepona ugonjwa huo. Museveni, ambaye…

Soma Zaidi »
Africa

Watu 100 wafa maji wakitoka harusini

NIGERIA: ZAIDI ya watu 100 wakiwemo watoto  wamekufa maji katia ajali ya boti iliyopinduka kaskazini mwa Nigeria ikiwa na familia…

Soma Zaidi »
Jifunze Kiswahili

Kijue Kiswahili-Sehemu ya tano

TOPIC FIVE Days Days of the week in Swahili language follow Arabic calendar system The first day is Saturday and…

Soma Zaidi »
Back to top button