Na Mwandishi Wetu

Tanzania

Serikali yaonya wanaotafuna fedha za umma

DODOMA- SERIKALI imeonya maofi sa masuuli na wengine wanaotumia vibaya fedha za umma. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba ametoa…

Soma Zaidi »
Featured

Dk Mwinyi ateua kamishna, wakurugenzi

ZANZIBAR – RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amefanya uteuzi wa kamishna na wakurugenzi…

Soma Zaidi »
Featured

Wananchi wampongeza Samia kuanza safari SGR

MOROGORO – WANANCHI wa Mkoa wa Morogoro na abiria waliosafi ri na treni ya mwendokasi (SGR) yenye namba E6800-01 kutoka…

Soma Zaidi »
Featured

Nape: Tanzania kinara ubora kidijiti duniani

GENEVA, Uswisi – WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amethibitisha nia ya Tanzania kuwa kinara wa…

Soma Zaidi »
Gesi

Biteko awabana watendaji utoshelevu umeme

DODOMA – NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewataka watendaji waanze kujiandaa kuongeza uzalishaji wa umeme…

Soma Zaidi »
Uchumi

Wasomi, wanasiasa wakoshwa bajeti 2024/25

DAR ES SALAAM – WASOMI, wanasiasa na wachumi wamepongeza bajeti ya serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 huku wakiishauri serikali…

Soma Zaidi »
Featured

Biteko azindua taarifa za Nishati

DODOMA – Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amezindua taarifa za utendaji katika Sekta ndogo ya…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Wadau wa uchaguzi waikingia kifua TAMISEMI

DODOMA – WADAU wa uchaguzi wamesisitiza kuwa hatua ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI kuandaa kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa…

Soma Zaidi »
Featured

Bajeti ya tril 49/- kuleta nafuu

SERIKALI inatarajia kukusanya na kutumia Sh trilioni 49.35, sawa na ongezeko la asilimia 11.2 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2023/2024.…

Soma Zaidi »
Ulaya

Wananchi wapiga kura kuwauwa njiwa mjini

UJERUMANI – Wakaazi wa Limburg-an-der-Lahn wamepiga kura ya kuangamiza njiwa wote katika mji huo wa Ujerumani, wakidai idadi ya ndege…

Soma Zaidi »
Back to top button