Fadhili Abdallah

Tanzania

“Miradi ibebe dhana ya maendeleo”

KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Abdalla Shaib Kaim ametaka utekelezaji wa miradi inayopitiwa na mwenge huo ibebe dhana…

Soma Zaidi »
Tanzania

Washauri kuzingatia mwongozo wa manunuzi

WATAALAM kutoka idara mbalimbali mkoani Mtwara wametakiwa kuzingatia mwongozo wa manunuzi wanaopatiwa sasa ili kuongeza tija katika eneo la manunuzi…

Soma Zaidi »
Uchumi

Madiwani washauri serikali kufufua viwanda vya pamba

MADIWANI wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameishauri serikali kufufua viwanda vya ununuaji wa zao la pamba ili…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali kuendelea kudumisha demokrasia

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema serikali itaendelea kudumisha demokrasia nchini kwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kasekenya: TBA zingatieni ubora wa majengo

WAKALA wa Majengo nchini (TBA) wametakiwa kuzingatia ubora na ufanisi wa majengo. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Ujenzi…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Ilemela, Pasiansi, Buswelu zashinda Angeline Cup

TIMU za kata ya Ilemela, Pasiansi, Buswelu zimepata ushindi katika michezo yao iliyochezwa jana ya mashindano ya Angeline Jimbo cup…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Shibula yashinda 2-1 dhidi ya Bezi

KATA ya Shibula imepoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Bezi katika mchezo wa kundi D kwenye mashindano ya Angeline Jimbo…

Soma Zaidi »
Utalii

Mchengerwa azipa neno TTB, Tanapa

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa amezitaka Bodi za Utalii (TTB) na Bodi ya Udhamini ya Shirika la Hifadhi…

Soma Zaidi »
Utalii

Watumishi Tanapa kupewa mafunzo ya kijeshi

MWENYEKITI Bodi ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) Generali Mstaafu, George Waitara amesema muda umefika kwa shirika hilo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Watumishi 7 halmashauri kizimbani uhujumu uchumi

KATAVI; Mpanda. TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Katavi imewafikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Katavi,…

Soma Zaidi »
Back to top button