Na Rahimu Fadhili

Tanzania

Atozwa faini uhujumu miundombinu ya maji

MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga (KUWASA) imemtoza faini ya Sh milioni 2 Samweli…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Uanzishwaji wa bima kunufaisha wananchi Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema uanzishwaji wa huduma mpya ya Bima…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Azam yapata kocha msaidizi

AZAM FC imetangaza kuingia mkataba wa miaka mitatu na kocha msaidizi Bruno Ferry. “Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Simba yamtambulisha Onana kutoka Rwanda

KLABU ya Simba imekamilisha usajili wa mshambuliaji, Willy Essomba Onana, 23, raia wa Cameroon akitokea Rayon Sports ya Rwanda. Onana…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

United yamtangaza Mount

Klabu ya Manchester United ‘The Red Devil’ imemtangaza kiungo mshambuliaji Mason Mount kuwa mchezaji mpya wa klabu hiyo akitokea Chelsea…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Tetesi za usajili Ulaya

‘FOOTBALL Insider’ imeripoti Manchester City wanataka £50m ili kumuachia kiungo Bernado Silva. Andre Onana amekataa ofa kutoka Saudia na inaonekana…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Firmino atimkia Uarabuni

MSHAMBULIAJI Roberto Firmino amejiunga na Al-Ahli ya Saudia Pro League kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Liverpool. Mbrazil huyo, 31,…

Soma Zaidi »
Siasa

Lipumba amrithi Kinana kituo cha demokrasia

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) akichukua nafasi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Dar yajipanga biashara, mwendokasi saa 24

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wakazi wa jiji hilo wajipange kufanya biashara saa 24. Pia…

Soma Zaidi »
Tanzania

Uongozi wa mabasi ya New Force watii amri

UONGOZI unaosimamia mabasi ya New Force umetii amri ya Mamlaka ya Udhibiti Usafi ri Ardhini (Latra) kuyazuia kuanza safari saa…

Soma Zaidi »
Back to top button