Afya

Waiomba serikali kuwajengea kituo huduma ya afya

WAKAZI wa kijiji cha Majengo kata ya Namtumbuka Halmashauri ya Mji wa Nanyamba mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwajengea kituo cha…

Soma Zaidi »

Marufuku kula msibani

SIMIYU; Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dk Yahaya Nawanda, amepiga marufuku watu kula kwenye misiba, kutokana na kuibuka tena kwa…

Soma Zaidi »

Mtoto atolewa pini kwenye mapafu

DARES SALAAM: Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imemtoa pini kwenye mapafu ya  mtoto mwenye umri wa miaka mitano. Mtoto uyo…

Soma Zaidi »

Mkanda suluhu utokaji damu nyingi baada ya kujifungua

CHANGAMOTO ya wanawake kutoka damu nyingi baada ya kujifungua, imepatiwa suluhu baada ya teknolojia ya mkanda salama kugunduliwa. Mkanda salama…

Soma Zaidi »

NHIF safi hospitali binafsi

DAR ES SALAAM: Uongozi wa Bodi ya wamiliki wa vituo vya afya binafsi nchini (APHFTA) na Jumuiya ya Wamiliki wa…

Soma Zaidi »

Mfumo kupunguza unyanyapaa wazinduliwa

DAR ES SALAAM: Utafiti wa Afua ya Mfumo Jumuishi kwa Watoa Huduma za Afya ili kupunguza unyanyapaa kwa watu wanaoishi…

Soma Zaidi »

Marufuku kuondoa wodini wagonjwa wa NHIF

DAR ES SALAAM; Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amepiga marufuku vituo binafsi kuwaondoa wodini wagonjwa ambao ni wanachama wa NHIF,…

Soma Zaidi »

Hospitali tano zavunja mkataba wa NHIF

DAR ES SALAAM: Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umewataka wananchama wake kutumia vituo vya afya mbadala baada…

Soma Zaidi »

Mwenye kilo 145 afanyiwa upasuaji kupunguza uzito

DAR ES SALAAM; MTUMISHI wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, amefanyiwa upasuaji mdogo wa kukatwa utumbo wa chakula kupunguza uzito katika…

Soma Zaidi »

Hakuna atakayekosa huduma NHIF’

KAMATI ya Kupitia Kitita cha Mafao cha NHIF cha mwaka 2023, imewahakikishia Watanzania kwamba hakuna atakayekosa matibabu kwa kuwa mkataba…

Soma Zaidi »
Back to top button