Afya

Hospitali za rufaa mikoa kutumia Tehama

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amezitaka hospitali zote za rufaa za mikoa kuanza kutumia mifumo ya Tehama ili kuboresha utoaji…

Soma Zaidi »

Bugando kuanza upandikizaji figo

HOSPITALI ya Rufaa ya Kanda Bugando, mkoani Mwanza itaanza kutoa huduma za upandikizaji figo mwishoni mwa mwaka huu. Hatua hiyo…

Soma Zaidi »

Benjamin Mkapa yaelemewa wagonjwa wa figo

DODOMA: Hospitali ya Benjamin Mkapa inakabiliwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa figo ambapo kwa siku watu zaidi ya 50…

Soma Zaidi »

Watu 20 kufanyiwa upasuaji wiki moja

TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete(JKCI) itafanya upasuaji kwa watu wazima 20 wenye tatizo la mishipa ya moyo kuziba mishipa…

Soma Zaidi »

Mloganzila wafanya upasuaji wa makengeza, vifuniko vya macho

DAR ES SALAAM: Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa kushirikiana na Madaktari Bingwa wabobezi kutoka nchini Sudan imefanya upasuaji rekebishi kwa…

Soma Zaidi »

Aliyeshindwa kula miaka sita afanyiwa upasuaji

DAR ES SALAAM: Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imefanya upasuaji wa koo kwa njia ya matundu madogo kwa mtoto…

Soma Zaidi »

UMMY :Mikoa miwili bado ina kipindupindu

DAR ES SALAAM: WAZIRI  wa Afya,Ummy Mwalimu  ametoa tahadhari ya wananchi kuepuka kutiririsha maji taka kuelekea msimu wa mvua za…

Soma Zaidi »

Halmashauri 112 hazina maambukizi, matende mabusha

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imesitisha kampeni ya umezeshaji wa kingatiba za ugonjwa wa mabusha na matende katika Halmashauri ya…

Soma Zaidi »

Watu milioni 3 wanusurika kupata mabusha Dar

DAR ES SALAAM: WATU milioni 3.7 wakazi wa jiji la Dar es Salaam wamenusurika kupata maambukizi ya vimelea vya ugonjwa…

Soma Zaidi »

Serikali, wadau kushirikiana huduma bora za afya

DAR ES SALAAM: Serikali kupitia Wizara ya Afya  itaendelea  kushirikiana na wadau wa maendeleo ili kuhakikisha kuwa huduma bora za…

Soma Zaidi »
Back to top button