Afya

Magonjwa ya ngono chanzo cha matumizi holela ya Antibiotiki

DAR ES SALAAM: MAGONJWA ya ngono yametajwa kuwa chanzo cha matumizi holela ya dawa za antibiotiki nchini. Hayo yamesemwa na…

Soma Zaidi »

Elimu ya choo bora yapigiwa debe

DAR ES SALAAM: ELIMU imetakiwa kutolewa zaidi ili kuelimisha na kuhamasisha watanzania kuwa na matumizi bora ya vyoo majumbani na…

Soma Zaidi »

Abiria stendi ya magufuli kupimwa TB

DAR ES SALAAM; SERIKALI imeweka mkakati wa kuwapima ugonjwa wa kifua kikuu (TB) wasafiri wanaoingia na kutoka katika mkoa huo…

Soma Zaidi »

Kiwanda cha maziwa chapata tuzo kujali afya za walaji

KIWANDA cha Kuzalisha Maziwa ya Kilimanjaro Fresh kupitia kampuni yake ya Galaxy Food and Beverage ya jijini Arusha kimeibuka mshindi…

Soma Zaidi »

Watoto 505,840 kupatiwa kingatiba Kigoma

KIGOMA: Wizara ya Afya kwa kushirikiana na OR-TAMISEMI inaendesha zoezi la umezeshaji  vidonge vya kingatiba kwa ajili ya kudhibiti magonjwa…

Soma Zaidi »

Mlipuko wa surua Dodoma

DODOMA: UONGOZI wa Mkoa wa Dodoma umetangaza mlipuko wa ugonjwa wa surua katika mkoa huo na kuwataka wananchi kuchukua tahadhari.…

Soma Zaidi »

Tanzania, Marekani kutibu kiharusi

DAR ES SALAAM: HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili kwa kushirikiana na Taasisi ya Weill Cornell Medicine ya nchini Marekani wameanzisha…

Soma Zaidi »

Dar kinara matumizi ya choo

DAR ES SALAAM imetajwa kuwa kinara wa matumizi ya choo bora nchini ikifuatiwa na Ruvuma na Njombe. Ongezeko hilo la…

Soma Zaidi »

Japan,Tanzania kushirikiana mafunzo wataalam wa afya

DAR ES SALAAM; Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Mohamed Janabi amemuomba Balozi wa Japan nchini Tanzania, Yasushi…

Soma Zaidi »

Katavi, Manyara na Tabora vinara kujisaidia vichakani

DAR ES SALAAM: MIKOA ya Manyara, Katavi na Tabora inaongoza kwa wakazi wake kujisaidia vichakani kutokana na kushika nafasi za…

Soma Zaidi »
Back to top button