Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Wafanyabiashara: Sheria za kodi zifikirie wazawa
December 13, 2024
Wafanyabiashara: Sheria za kodi zifikirie wazawa
WADAU wa kodi wametoa mapendekezo kadhaa yakiwemo kuboresha mifu[1]mo na sheria ili kuboresha mazingira ya biashara. Wameshauri sheria za kodi…
TRA yavuka lengo makusanyo Novemba
December 13, 2024
TRA yavuka lengo makusanyo Novemba
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh trilioni 2.47 Novemba mwaka huu ikiwa ni zaidi ya lengo la makusanyo kwa…
Mapato SGR yafika bil 28/- miezi minne
December 11, 2024
Mapato SGR yafika bil 28/- miezi minne
DAR ES SALAAM; SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limesema usafiri wa treni ni biashara kubwa, hivyo haliwezi kuruhusu kushindwa kuifanya.…
Serikali kushirikisha sekta binafsi usafirishaji umeme nchini
December 11, 2024
Serikali kushirikisha sekta binafsi usafirishaji umeme nchini
MOMBASA, Kenya: MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mha. Gissima Nyamo-Hanga amesema serikali inaendelea kuangalia njia bora ya…
Jukwaa Sekta ya Fedha 2024 lazinduliwa
December 10, 2024
Jukwaa Sekta ya Fedha 2024 lazinduliwa
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, amezindua Jukwaa la kwanza la Wadau wa Sekta ya Fedha kwa mwaka 2024 jijini…
‘Unafuu wa kodi kwa wazalishaji bia utawainua wakulima Tanzania’
December 10, 2024
‘Unafuu wa kodi kwa wazalishaji bia utawainua wakulima Tanzania’
Dar es Salaam, Tanzania: Kutoka kuwa mkulima mdogo anayelima kipande cha ekari moja na nusu, Nana Pissa sasa ni mama…
Bodi ya Chai, Japan wajadili thamani ya chai
December 9, 2024
Bodi ya Chai, Japan wajadili thamani ya chai
BODI ya Chai Tanzania (TBT) imesema ujio wa ujumbe wa watu watano kutoka kampuni mbili kubwa za chai za Japan…
Zambia yajifunza usimamizi madeni ya ndani Tanzania
December 7, 2024
Zambia yajifunza usimamizi madeni ya ndani Tanzania
TIMU ya wataalamu kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Zambia, imefanya ziara ya mafunzo katika Wizara ya Fedha Tanzania. Lengo…
Umuhimu wa maboresho ya kodi katika ukuaji soko la hisa
December 6, 2024
Umuhimu wa maboresho ya kodi katika ukuaji soko la hisa
MABORESHO ya kodi ni jambo muhimu katika kubadili hali ya uchumi kwa kuwa yanagusa moja kwa moja sekta mbalimbali, likiwamo…
Mama lishe wapewa mbinu kujiendeleza kibiashara
December 4, 2024
Mama lishe wapewa mbinu kujiendeleza kibiashara
MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA), imewataka mama na baba lishe kujiendeleza katika fani ya mapishi ili kuboresha…