Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Utalii wa mikutano, matukio kupaisha uchumi

Utalii wa mikutano, matukio kupaisha uchumi

TANZANIA inatarajia kunufaika kiuchumi utakaotokana na kukuza utalii wa mikutano na matukio (MICE Tourism) na kutangaza utalii kimataifa wakati itakapokuwa…
Serikali yafafanua hali ya uchumi nchini

Serikali yafafanua hali ya uchumi nchini

SERIKALI imesema shughuli za uchumi nchini zimeendelea kuimarika licha ya changamoto zinazoikabili kutokana na utekelezaji wa Sera za ya Fedha…
Tasaf yahawilisha bil 945/- kwa kaya milioni moja

Tasaf yahawilisha bil 945/- kwa kaya milioni moja

MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kuanzia mwezi Julai 2021 hadi Juni 2024 mpango imehawilisha ruzuku ya jumla ya Sh…
Rais Mwinyi afungua Ofisi ya wakala wa ZIPA China

Rais Mwinyi afungua Ofisi ya wakala wa ZIPA China

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amefungua rasmi ofisi ya wakala wa Mamlaka…
TRA kumaliza utata wa kodi Nyanghwale

TRA kumaliza utata wa kodi Nyanghwale

MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA) ofisi za Geita imeendesha semina kwa wafanyabiashara wa Busolwa wilayani Nyang’hwale iliyolenga kuondoa dhana potofu…
Ripoti mpya ya SBL yaweka mkazo ushirikishwaji, ujumuishwaji

Ripoti mpya ya SBL yaweka mkazo ushirikishwaji, ujumuishwaji

DAR ES SALAAM: Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua rasmi Ripoti yake ya Uendelevu ya 2024 yenye kaulimbiu ‘Kusimamia…
Tanzania, Urusi kuimarisha uchumi

Tanzania, Urusi kuimarisha uchumi

DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Urusi wamesaini vipengele muhimu vya makubaliano ya mfumo unaolenga…
Mradi wa Sh bilioni 60 kuboresha sekta ya usafishaji Ziwa Victoria

Mradi wa Sh bilioni 60 kuboresha sekta ya usafishaji Ziwa Victoria

MWANZA/BUKOBA: Serikali ya Tanzania imewekeza Sh bilioni 60 kuboresha bandari tatu kuu za Ziwa Victoria. Meneja wa Bandari za Ziwa…
Dk Chana ahamasisha uwekezaji mazao ya misitu

Dk Chana ahamasisha uwekezaji mazao ya misitu

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk Pindi Chana amewahimiza wawekezaji wa mazao ya misitu kutoka nchini China kuanzisha viwanda…
Bandari yajipanga kusafirisha shehena ya korosho

Bandari yajipanga kusafirisha shehena ya korosho

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imesema Bandari ya Mtwara imejipanga kusafirisha korosho ghafi ambazo zinatarajiwa kusafirishwa kwenda nje ya…
Back to top button