Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Waipongeza Tanzania kuondoa vikwazo vya biashara
October 26, 2024
Waipongeza Tanzania kuondoa vikwazo vya biashara
WAJUMBE wa Bunge la Afrika (PAP) wameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kuondoa vikwazo vya biashara kwa nchi za Jumuiya ya…
Mpango awakaribisha wawekezaji nishati jotoardhi
October 23, 2024
Mpango awakaribisha wawekezaji nishati jotoardhi
MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kushirikiana na Tanzania katika kuwekeza kwenye nishati ya Jotoardhi inayopatikana katika maeneo…
Wafanyabiashara wakumbushwa kutunza taarifa zao
October 21, 2024
Wafanyabiashara wakumbushwa kutunza taarifa zao
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka wafanyabiashara mkoani Kagera kutumia mashine za kielekroniki kwa usahihi (EFD) pamoja na kutunza vizuri…
Uwekezaji wa Sh bil 429.1 waleta mabadiliko Bandari ya Tanga
October 20, 2024
Uwekezaji wa Sh bil 429.1 waleta mabadiliko Bandari ya Tanga
TANGA: Utendaji wa Bandari ya Tanga umeimarika kwa kiasi kikubwa katika miaka ya hivi karibuni, kutokana na uwekezaji wa Serikali…
TADB kusini watoa elimu usimamizi wa fedha
October 17, 2024
TADB kusini watoa elimu usimamizi wa fedha
BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Kanda ya Kusini imetoa mafunzo kwa viongozi zaidi ya 100 kutoka vyama mbalimbali…
Serikali kuendelea kusimamia uchumi wa bluu
October 16, 2024
Serikali kuendelea kusimamia uchumi wa bluu
SERIKALI imesema itaendelea kusimamia na kuratibu kwa ufanisi shughuli za Uchumi wa Buluu nchini ili kuhakikisha wananchi inanufaika ipasavyo kwa…
Vituo vya SGR ‘dili’ kampuni ya simu ikifungua duka stesheni Dar
October 15, 2024
Vituo vya SGR ‘dili’ kampuni ya simu ikifungua duka stesheni Dar
DAR ES SALAAM: Katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja ya mwaka 2024, Vodacom Tanzania Plc leo imezindua duka jipya—…
Sekta ya utalii yasifiwa kuongeza pato la taifa
October 12, 2024
Sekta ya utalii yasifiwa kuongeza pato la taifa
NAIBU Waziri ,Wizara ya Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula amesema sekta ya utalii imekuwa na mchango mkubwa kwenye ajira za…