Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
TRA kutumia ‘Ndondo Cup’ kuzuia utumiaji bidhaa hatarishi
August 20, 2024
TRA kutumia ‘Ndondo Cup’ kuzuia utumiaji bidhaa hatarishi
DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo amesema TRA imeamua kutumia michezo katika…
Serikali kuboresha mazingira ya uwekezaji
August 20, 2024
Serikali kuboresha mazingira ya uwekezaji
WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Lameck Nchemba ameihakikishia Jumuiya ya Kimataifa na Watanzania kwa ujumla kwamba serikali inaendelea kuweka na kuboresha…
Dola milioni 8 kukuza biashara
August 20, 2024
Dola milioni 8 kukuza biashara
DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Marekani kupitia Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), imesema itatoa uwekezaji wa Dola…
“Mamlaka inachangia ongezeko la chakula”
August 19, 2024
“Mamlaka inachangia ongezeko la chakula”
DODOMA: MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu nchini, (TPHPA), Profesa Joseph Ndunguru amesema mamlaka hiyo ina…
PBZ yaongeza faida kwa asilimia 18
August 18, 2024
PBZ yaongeza faida kwa asilimia 18
ZANZIBAR: BENKI ya Watu wa Zanzibar (PBZ Bank) imetangaza ripoti yake ya kifedha ya nusu ya kwanza ya mwaka 2024,…
TCB, Bunge wafungua ukurasa mpya kuinua wajasiriamali
August 16, 2024
TCB, Bunge wafungua ukurasa mpya kuinua wajasiriamali
DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB), Adam Mihayo, amemtembelea na kuzungumza na Spika wa Bunge,…
Wadau wekezeni kwenye sekta za kilimo na viwanda
August 15, 2024
Wadau wekezeni kwenye sekta za kilimo na viwanda
DODOMA : Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander Mkumbo(Mb.), alitoa wito huu katika mazungumzo…
Wakulima zaidi ya 400 kunufaika fursa SBL
August 9, 2024
Wakulima zaidi ya 400 kunufaika fursa SBL
Dodoma: Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imeitikia wito wa serikali wa kuboresha mazingira mazuri kwa wakulima wa…
TCB yajivunia mafanikio mradi wa SGR
August 8, 2024
TCB yajivunia mafanikio mradi wa SGR
DAR ES SALAAM: Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imesema inajivunia kuwa sehemu ya mradi wa reli ya kisasa (SGR) uliozinduliwa hivi…
Mradi wa SGR: Tanzania imethubutu
August 1, 2024
Mradi wa SGR: Tanzania imethubutu
HISTORIA imeandikwa leo kupitia tukio la leo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kufanya uzinduzi wa Reli ya SGR. Tukio…