Uchumi

Uchumi wa Tanzania wakua kwa asilimia 5.4

Serikali imesema mikakati ya kukabiliana na athari za vita katika eneo la Ukraine pamoja na uwekezaji katika sekta za kilimo,…

Soma Zaidi »

BoT yaja na muongozo mikopo kausha damu

DAR ES SALAAM :BENKU Kuu ya Tanzania (BoT), imesema ipo mbioni kutoa miongozo na kanuni mpya kwa ajili ya kuratibu…

Soma Zaidi »

Viwanja vya ndege kuchunguzwa kudhibiti uhalifu

ZANZIBAR; SERIKALI imeanza uchunguzi maalumu kubaini upungufu katika viwanja vyote vya ndege nchini na kuzifanyia kazi ikiwemo mifumo, utendaji na…

Soma Zaidi »

Benki yazindua akaunti ya mfugaji

DAR ES SALAAM: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua ‘Akaunti ya Mfugaji’ mahususi kwa ajili ya wadau wa sekta…

Soma Zaidi »

Maagizo yatolewa kwa wadau huduma za wanyama

DAR ES SALAAM: WAZALISHAJI na Wasambazaji wa rasilimali na vyakula vya wanyama wametakiwa kuhakikisha vyakula na viwanda vyao vimekaguliwa ili…

Soma Zaidi »

Safari treni ya kisasa kuanza rasmi Julai 25

DODOMA; Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema kuwa safari ya treni ya mwendo kasi ( SGR) kutoka Dar es…

Soma Zaidi »

NBC yaja na kadi mpya, Dk Biteko akoshwa ufanikishaji miradi

Dodoma: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuunga mkono…

Soma Zaidi »

Benki yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Dar es Salaam: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa ajili ya wastaafu inayofahamika kama “Akaunti ya…

Soma Zaidi »

‘Soko Tanzania lisiwe la bidhaa duni’

DAR ES SALAAM; WAFANYABIASHARA nchini wametakiwa wasitumie soko la Tanzania kuingiza bidhaa zenye viwango duni, badala yake wasimamie ubora na…

Soma Zaidi »

Mambo yazidi kunoga Bandari Mtwara

MTWARA; MAMALAKA ya Usimamizi Bandari (TPA) mkoani Mtwara imepokea kifaa maalum kwa ajili ya kusaidia meli kuegesha na kuondoka kwenye…

Soma Zaidi »
Back to top button