Uchumi

Serikali kudhibiti mfumuko wa bei

DAR ES SALAAM: Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema mfumuko wa bei nchini umeendelea kudhibitiwa ambapo kwa kipindi cha…

Soma Zaidi »

Biashara ya mbaazi Tanzania, India mambo safi

NEW DELHI, India: TANZANIA imeruhusiwa kuiuzia India kiasi cha mbaazi inachoweza kuanzia sasa hadi Machi 2025. Makubaliano hayo yamefikiwa leo Februari…

Soma Zaidi »

Silinde: Watafiti wa kilimo ongezeni kasi

MOROGORO: WATAFITI wa kilimo nchini wametakiwa kuongeza kasi katika kufanya tafiti za kilimo kwa kuwa upo uhitaji wa upatikanaji wa…

Soma Zaidi »

Rais Samia kubariki Jukwaa la kodi na uwekezaji

ARUSHA; RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufungua jukwaa la kodi na uwekezaji mwaka huu, lililoandaliwa na Wizara ya Fedha kwa…

Soma Zaidi »

Mitambo 2 kuzalisha umeme kuwashwa JNHPP Machi

TANGA; Makamu wa Rais  Dk. Philip Mpango, amesema  mwezi Machi mwaka huu itawashwa mitambo miwili ya kuzalisha umeme katika Bwawa…

Soma Zaidi »

Suluhu la umeme migodini kupatikana

DODOMA: Serikali kupitia Wizara ya Madini imeanza mazungumzo na Kampuni ya TAQWA-DALBIT kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa upatikanaji…

Soma Zaidi »

Bodi kuleta bei shindani ya mazao

BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi Ghalani nchini imeeleza mfumo wa stakabadhi hauna lengo la kupandisha bei wala kupunguza katika ununuzi…

Soma Zaidi »

Uchumi wadorora Uingereza

UCHUMI wa Uingereza umeingia rasmi katika mdororo, takwimu zinaonesha. Mdororo wa uchumi unafafanuliwa kama vipindi viwili vya miezi mitatu mfululizo…

Soma Zaidi »

Mikakati kuongeza soko la samaki

DODOMA: Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amesema wizara yake itaendelea kushirikiana na Ofisi ya Rais…

Soma Zaidi »

Tanzania, AfDB zaungana kutekeleza miradi ya nishati

DODOMA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeonesha nia…

Soma Zaidi »
Back to top button