Uchumi

Dk Mwinyi apongezwa nia kubinafsisha mashirika

WADAU wa sekta binafsi na wachumi wamesema Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ana lengo sahihi kutaka kuyakabidhi mashirika ya…

Soma Zaidi »

Kamati yamaliza utata kilo nne za tanzanite

KAMATI ya wataalamu wa ramani mgodini kutoka Chuo cha Madini Dodoma imetoa ripoti kwamba madini kilo nne yalichimbwa mita 650…

Soma Zaidi »

NALA kuwekeza zaidi ya bil 2/- baada ya kupata ‘baraka’ za BOT

KAMPUNI ya Kitanzania inayotoa huduma ya malipo kwa njia ya kieletroniki, NALA, imepewa leseni na Benki Kuu (BOT) itakayowezesha kufanya…

Soma Zaidi »

Majaliwa akagua ujenzi SGR Mwanza-Isaka

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo 26 Machi 2023 amekagua mradi wa Ujenzi wa reli ya kisasa SGR Mwanza-Isaka, kipande cha…

Soma Zaidi »

Waomba ushuru kuingiza mabasi upunguzwe

WAMILIKI wa mabasi nchini, wameiomba serikali kupunguza ushuru wa kuingiza mabasi ambao umepanda kutoka Sh milioni 40 hadi milioni 90.…

Soma Zaidi »

Wawekezaji mawasiliano kuendelea kuungwa mkono

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema Serikali itaendelea kuunga mkono jitihada zinazofanywa na wawekezaji katika…

Soma Zaidi »

‘Kuanzishwe karakana ya taifa kuchakata ngozi’

WAHADHIRI katika Taasisi ya ufundi Stadi nchini Ethiopia (TVET) wameishauri Tanzania kuanzisha karakana ya taifa ya kuchakata ngozi, ili kuongeza…

Soma Zaidi »

Equity, ZEEA na SMIDA zaingia makubaliano kukopesha wajasiriamali bila riba

Benki ya Equity Tanzania imeingia makubaliano ya kufanya kazi na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZEEA) na Wakala wa Maendelo ya Viwanda Vidogo na…

Soma Zaidi »

Serikali yanunua ng’ombe dume 366

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi David Silinde amesema katika kipindi cha miaka miwili tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara kampuni 100 China waja

WAFANYABIASHARA kutoka kampuni 100 nchini    China wanatarajiwa kuja Tanzania kwa lengo la kufanya mazungumzo na kampuni zilizopo nchini. Wafanyabiashara…

Soma Zaidi »
Back to top button