Uchumi

BoT yataja sababu uchumi kukua 2023

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia Kamati ya Sera ya Fedha (MPC) imesema katika kipindi cha mwaka huu uchumi unatarajiwa…

Soma Zaidi »

Dk Bashiru: Njaa inatweza utu

MBUNGE wa kuteuliwa Balozi Dk  Bashiru Ally Kakurwa amesema mfumuko wa bei ya vyakula unasababisha wananchi kupiga pasi ndefu na…

Soma Zaidi »

Mkopo wa nanasi mbili ulivyomuwezesha kumiliki nyumba 2

MICHAEL Elias (44) mkazi wa Mtaa wa Munangi, Kata ya Kindai katika Manispaa ya ameshauri vijana kutobagua kazi licha ya…

Soma Zaidi »

Wakulima walalamikia upimaji utamu wa miwa Kilombero

WAKULIMA wa miwa wilayani Kilombero mkoani Morogoro, wamelalamikia kukosa imani na Kiwanda cha Sukari Kilombero kwa jinsi wanavyopima kiwango cha…

Soma Zaidi »

Wanawake, wamachinga kunufaika na mikopo

WAJASIRIAMALI wanawake, vijana na wamachinga wameandaliwa namna bora ya kupatiwa elimu ya mikopo itakayowawezesha kuboresha mitaji yao na jinsi ya…

Soma Zaidi »

TFC yapewa Shilingi bilioni 6 kusambaza mbolea

SERIKALI imeipa mtaji wa shilingi bilioni 6 Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) ili isambaze mbolea ya ruzuku nchi nzima. Taarifa…

Soma Zaidi »

Tanzania, India kufungua fursa mpya biashara

TANZANIA na India zimeonesha dhamira ya kufanya kazi kwa karibu kutafuta njia bora za kufungua fursa mpya za biashara na…

Soma Zaidi »

Tanzania sasa kuingiza bidhaa 10 soko la Afrika

WIZARA ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara imesema Tanzania inapaswa kuongeza kasi na kuwa na mikakati ya kuzitumia fursa katika Eneo…

Soma Zaidi »

Wawili watiwa mbaroni uvuvi haramu feri

JESHI la Polisi Kikosi cha Wanamaji Dar es salaam kwa kushirikiana na Wizara ya Uvuvi na Mifugo kimekamata kilo 980…

Soma Zaidi »

Kampuni 400 za Ulaya kutua nchini kusaka fursa uwekezaji

KAMPUNI 400 kutoka Umoja wa Ulaya (EU) zinatarajia kuja nchini mwezi ujao kwa ajili ya kuangalia fursa za uwekezaji na…

Soma Zaidi »
Back to top button