Uchumi

Mv Mwanza kuongeza tija SGR

WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi imesema serikali iliamua kujenga meli kubwa katika Ziwa Victoria ili kukidhi mahitaji ya soko yanayotarajiwa…

Soma Zaidi »

Udahili Bahari waongezeka

CHUO cha Bahari cha Dar es salaam (DMI) kimeongeza udahili kutoka wanafunzi 5,563 wa mwaka 2013/2014 hadi 9,034 kwa mwaka…

Soma Zaidi »

‘Mradi uzingatie mahitaji halisi ya walengwa’

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), limepanga kutekeleza mradi wa kilimo, mifugo, uvuvi, miundombinu na biashara kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

TRA yawanoa wahasibu mabadiliko ya mfumo

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) ofisi za Geita imewataka wahasibu na wafanyabiashara wa kampuni kufanya kazi kwa kuzingatia maboresho ya…

Soma Zaidi »

Vijana 97,0000 wanufaika na mafunzo

VIJANA 97,000 nchini wamenufaika mafunzo ya uanagenzi yanayotolewa kupitia programu ya kukuza ujuzi iliyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu,…

Soma Zaidi »

serikali yafanya uwekezaji mkubwa mazao ya mboga mboga

SERIKALI  imefanya uwekezaji mkubwa kwenye Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHPA) na kuongeza mchango wa tasnia hiyo kwenye…

Soma Zaidi »

Ajira lukuki TIC

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imelieleza Bunge kuwa Katika kipindi cha miaka mitatu TIC kimesajili…

Soma Zaidi »

Viwanda vilivyobinafsishwa havijulikana kwa majina

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imelieleza Bunge kuwa Viwanda vilivyobinafsishwa havijulikani kwa majina na mahali…

Soma Zaidi »

Mkataba Mchuchuma, Liganga kaa la moto

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imelieleza Bunge kuwa hakuna kazi yoyote inayoendelea kwa mujibu wa…

Soma Zaidi »

Watakiwa kutumia mikopo kwa malengo

MKUU mpya wa Wilaya ya Chato mkoani Geita, Deusdedith Katwale amewataka wajasiriamali ambao ni wanufaika na mikopo ya halmashauri kuzingatia…

Soma Zaidi »
Back to top button