Uchumi

Utalii wachangia asilimia 30 pato la taifa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amemueleza Rais wa Benki ya Maendeleo ya…

Soma Zaidi »

Watakiwa kuongeza ubunifu kuzifikia fursa

SERIKALI imewataka wajasiriamali wa bidhaa nchini kuelekeza nguvu zao katika ubunifu wa kidigitali ili kuweza kuzifikia fursa mbalimbali zenye kuongeza…

Soma Zaidi »

Dk Mpango akaribisha wawekezaji EU

MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango, amewakaribisha wawekezaji kutoka Umoja wa Ulaya (EU), kuwekeza nchini na kusema Tanzania imedhamiria kuvutia…

Soma Zaidi »

Watakiwa kupata mafunzo ubora wa bidhaa

KATIBU Tawala Mkoa wa Arusha, Missaile Mussa amewataka  wakurugenzi wa Halmshauri mkoani Arusha kubaini makundi au vikundi yanayojihusisha na uzalishaji…

Soma Zaidi »

‘Tunairejesha Tanga ya viwanda’

Serikali mkoani Tanga, imesema kuwa itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa wawekezaji kwenye fursa za viwanda, ili kuirejesha Tanga ya viwanda.…

Soma Zaidi »

Watakiwa kupata elimu kabla ya kukopa

WANANCHI hususani wanawake wametakiwa kupata elimu ya fedha kabla ya kukimbilia kukopa na kuishia kupata matatizo mbali mbali kutokana na…

Soma Zaidi »

Ujumbe mfuko wa uwekezaji China, Afrika kutua nchini

Ujumbe wa Mfuko wa Uwekezaji wa China na Afrika (CADFUND) unatarajiwa kufanya ziara nchini Tanzania mnamo Aprili, 2023. Ahadi hiyo…

Soma Zaidi »

Mtwara waanza maandalizi uzinduzi wa Mwenge

MKOA wa Mtwara unatarajia kufanya mkutano wa watoa huduma za kijamii wakiwemo wafanyabiashara, ili waweze kutoa maelekezo namna watakavyoshiriki katika…

Soma Zaidi »

Ukerewe wapania maendeleo bajeti 2023/24

BARAZA la Madiwani wilayani Ukerewe, limepitisha bajeti ya Sh billion 4.4 kwa mwaka wa fedha 2023/2024, huku utekelezaji wa bajeti…

Soma Zaidi »

Samia awa mbogo rushwa miradi ya maendeleo

RAIS Samia Suluhu Hassan ameonya wakwamishaji wa miradi ya maendeleo ikiwamo ya umeme kwa kuendekeza rushwa, undugu na urasimu usiokuwa…

Soma Zaidi »
Back to top button