Uchumi

serikali yafanya uwekezaji mkubwa mazao ya mboga mboga

SERIKALI  imefanya uwekezaji mkubwa kwenye Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHPA) na kuongeza mchango wa tasnia hiyo kwenye…

Soma Zaidi »

Ajira lukuki TIC

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imelieleza Bunge kuwa Katika kipindi cha miaka mitatu TIC kimesajili…

Soma Zaidi »

Viwanda vilivyobinafsishwa havijulikana kwa majina

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imelieleza Bunge kuwa Viwanda vilivyobinafsishwa havijulikani kwa majina na mahali…

Soma Zaidi »

Mkataba Mchuchuma, Liganga kaa la moto

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imelieleza Bunge kuwa hakuna kazi yoyote inayoendelea kwa mujibu wa…

Soma Zaidi »

Watakiwa kutumia mikopo kwa malengo

MKUU mpya wa Wilaya ya Chato mkoani Geita, Deusdedith Katwale amewataka wajasiriamali ambao ni wanufaika na mikopo ya halmashauri kuzingatia…

Soma Zaidi »

BoT yataja sababu uchumi kukua 2023

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia Kamati ya Sera ya Fedha (MPC) imesema katika kipindi cha mwaka huu uchumi unatarajiwa…

Soma Zaidi »

Dk Bashiru: Njaa inatweza utu

MBUNGE wa kuteuliwa Balozi Dk  Bashiru Ally Kakurwa amesema mfumuko wa bei ya vyakula unasababisha wananchi kupiga pasi ndefu na…

Soma Zaidi »

Mkopo wa nanasi mbili ulivyomuwezesha kumiliki nyumba 2

MICHAEL Elias (44) mkazi wa Mtaa wa Munangi, Kata ya Kindai katika Manispaa ya ameshauri vijana kutobagua kazi licha ya…

Soma Zaidi »

Wakulima walalamikia upimaji utamu wa miwa Kilombero

WAKULIMA wa miwa wilayani Kilombero mkoani Morogoro, wamelalamikia kukosa imani na Kiwanda cha Sukari Kilombero kwa jinsi wanavyopima kiwango cha…

Soma Zaidi »

Wanawake, wamachinga kunufaika na mikopo

WAJASIRIAMALI wanawake, vijana na wamachinga wameandaliwa namna bora ya kupatiwa elimu ya mikopo itakayowawezesha kuboresha mitaji yao na jinsi ya…

Soma Zaidi »
Back to top button