Uchumi

Watakiwa kupata elimu kabla ya kukopa

WANANCHI hususani wanawake wametakiwa kupata elimu ya fedha kabla ya kukimbilia kukopa na kuishia kupata matatizo mbali mbali kutokana na…

Soma Zaidi »

Ujumbe mfuko wa uwekezaji China, Afrika kutua nchini

Ujumbe wa Mfuko wa Uwekezaji wa China na Afrika (CADFUND) unatarajiwa kufanya ziara nchini Tanzania mnamo Aprili, 2023. Ahadi hiyo…

Soma Zaidi »

Mtwara waanza maandalizi uzinduzi wa Mwenge

MKOA wa Mtwara unatarajia kufanya mkutano wa watoa huduma za kijamii wakiwemo wafanyabiashara, ili waweze kutoa maelekezo namna watakavyoshiriki katika…

Soma Zaidi »

Ukerewe wapania maendeleo bajeti 2023/24

BARAZA la Madiwani wilayani Ukerewe, limepitisha bajeti ya Sh billion 4.4 kwa mwaka wa fedha 2023/2024, huku utekelezaji wa bajeti…

Soma Zaidi »

Samia awa mbogo rushwa miradi ya maendeleo

RAIS Samia Suluhu Hassan ameonya wakwamishaji wa miradi ya maendeleo ikiwamo ya umeme kwa kuendekeza rushwa, undugu na urasimu usiokuwa…

Soma Zaidi »

Mv Mwanza kuongeza tija SGR

WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi imesema serikali iliamua kujenga meli kubwa katika Ziwa Victoria ili kukidhi mahitaji ya soko yanayotarajiwa…

Soma Zaidi »

Udahili Bahari waongezeka

CHUO cha Bahari cha Dar es salaam (DMI) kimeongeza udahili kutoka wanafunzi 5,563 wa mwaka 2013/2014 hadi 9,034 kwa mwaka…

Soma Zaidi »

‘Mradi uzingatie mahitaji halisi ya walengwa’

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), limepanga kutekeleza mradi wa kilimo, mifugo, uvuvi, miundombinu na biashara kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

TRA yawanoa wahasibu mabadiliko ya mfumo

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) ofisi za Geita imewataka wahasibu na wafanyabiashara wa kampuni kufanya kazi kwa kuzingatia maboresho ya…

Soma Zaidi »

Vijana 97,0000 wanufaika na mafunzo

VIJANA 97,000 nchini wamenufaika mafunzo ya uanagenzi yanayotolewa kupitia programu ya kukuza ujuzi iliyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu,…

Soma Zaidi »
Back to top button