Uchumi

Sangara wapungua Ziwa Victoria

SAMAKI aina ya sangara wamepungua katika Ziwa Victoria kutoka tani 537,479 mwaka 2020 hadi tani 335,170 kwa mwaka 2021. Ofisa…

Soma Zaidi »

TPA yaweka wazi tarehe ya kuanza usimamizi wa ‘TICTS’

MAMLAKA ya Usimamizi Bandari nchini (TPA) imesema itachukua rasmi usimamizi wa eneo lilokuwa likiendeshwa na Kampuni Binafsi ya Kimataifa ya…

Soma Zaidi »

Zaidi ya magari 2000 hupakuliwa bandari ya Dar kila siku

MAMLAKA ya Bandari nchini (TPA) imesema inapokea zaidi ya magari 2,000 kila siku kupitia Bandari ya Dar es Salaam ambapo…

Soma Zaidi »

Tanzania, Burundi zampa mtu binafsi kujenga SGR

SERIKALI za Tanzania na Burundi zimeshasaini makubaliano ya kujenga Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Uvinza hadi Gitega kupitia machimbo ya…

Soma Zaidi »

Biashara ya nguo yadorora kuelekea sikukuu

ZIKIWA zimebaki siku nne kuadhimishwa kwa sikukuu ya Krismasi, wafanyabiashara wa nguo mkoani Dar es Salaam wamesema biashara ya bidhaa…

Soma Zaidi »

Ujenzi reli ya Tabora-Kigoma waiva

KIPANDE cha ujenzi wa reli ya kati Tabora- Kigoma kitagharimu dola za Marekani bilioni 2.7 sawa na shilingi trilioni 6.34.…

Soma Zaidi »

‘Tumieni lugha rahisi kueleza umuhimu wa bima’

Katibu Mkuu Utumishi Dk Laurean  Ndumbaro, amewataka watumishi wa bima nchini kuhakikisha wanatoa elimu kwa lugha rahisi, ili kuwasaidia wananchi…

Soma Zaidi »

Tanzania yavuna soko la sabuni EAC

NCHI tatu za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimekuwa soko la sabuni zinazozalishwa na viwanda vikubwa vya Tanzania; amesema Naibu…

Soma Zaidi »

Serikali yatoa kauli ongezeko bei za vyakula

SERIKALI imewahakikishia Watanzania kuwa hakuna maeneo yatakayokosa chakula kwa kuwa inayo hifadhi ya kutosha huku ikisisitiza kuwa, bei ya bidhaa…

Soma Zaidi »

Masoko ya nyama nje yaongezeka

BODI ya Nyama Tanzania (TMB), imesema masoko ya nyama nje ya nchi yameendelea kuongezeka  kwa kasi huku ikitarajiwa China kuwemo.…

Soma Zaidi »
Back to top button