Uchumi

Sh Bil 1.1  zanogesha ukarabati Mv Tanga

Zaidi ya Sh bil 1.1 zimetumika kufanya ukarabati wa kivuko cha Mv Tanga, ambacho kinatoa huduma ya usafiri eneo la…

Soma Zaidi »

Serikali yataka muafaka wa GGML juu ya maeneo jirani

SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imeuagiza Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) kuandaa na kuwasilisha mpango kazi utakaotatua malalamiko ya…

Soma Zaidi »

Machinjio ya Sh bilioni 29 yazinduliwa Mvomero

MACHINJIO ya kisasa ya Nguru Hills Ranch Ltd imezinduliwa rasmi mjini Mvomero ambapo inauwezo wa kuchinja ng’ombe 100 na mbuzi…

Soma Zaidi »

Kutokurejesha mikopo, udanganyifu vikwazo mikopo 10%

OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imepewa jukumu la kuhakikisha vikundi vya wanawake, vijana na…

Soma Zaidi »

Machinga sasa kutumia EFDs

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kodi Kariakoo, umeanza kusajili wamachinga wote wanaofanya biashara katika eneo la Kariakoo kutumia…

Soma Zaidi »

TRA yaweka mkakati ukusanyaji kodi Kariakoo

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA), imeweka mkakati wa kuchochea wafanyabiashara kulipa kodi, ili kuongeza mapato ya serikali kwa kuweka mabango…

Soma Zaidi »

Ukarabati Uwanja Ndege Mtwara safi

UKARABATI na upanuzi wa miundombinu ya kiwanja cha ndege mkoani Mtwara umefikia asilimia 96. Maneja wa kiwanja hicho, Samuel Mruma…

Soma Zaidi »

Wadau ufugaji kuku waonyesha imani kulinda soko

WADAU wa ufugaji wa kuku nchini wameonesha imani kwa serikali ya awamuya sita inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan…

Soma Zaidi »

Profesa Mbarawa aitaka TPA kutangaza maboresho bandari ya Mtwara

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amewataka Mamlaka ya Bandari Nchini (TPA) kutangaza maboresho makubwa ambayo yamefanyika katika…

Soma Zaidi »

RC Malima apiga marufuku matumizi ya daraja ‘dogo’ la JPM

MKUU wa Mkoa wa Mwanza (RC), Adam Malima, amezuia magari kupita katika daraja la muda linalotumiwa na mkandarasi kupitishia vifaa…

Soma Zaidi »
Back to top button