Uchumi

Operesheni funga maduka yazua gumzo Bukoba, Machali acharuka

MKUU wa Wilaya ya Bukoba, Mosses Machali ameelekeza maduka yote ya wafanyabiashara ambao hawana leseni za biashara yafungwe hadi hapo…

Soma Zaidi »

Majaliwa aita mjadala eneo huru la biashara Afrika

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema makubaliano ya eneo huru la biashara Afrika yana lengo la kuleta mageuzi ya kiuchumi barani…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Hakuna uwekezaji utakaokwama

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali ina dhamira ya dhati kuhakikisha wawekezaji wanapata faida na hakuna mwekezaji atakayekwama kwa namna…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Uwekezaji nchini hautakwama

WAZIRI  Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwaunga mkono wawekezaji…

Soma Zaidi »

TRA Katavi yakusanya zaidi ya bilioni 7/-

Katika mwaka wa fedha 2021/22 Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Katavi imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 7.2 sawa na…

Soma Zaidi »

Ghana kununua mafuta kwa dhahabu

SERIKALI ya Ghana inafanyia kazi sera mpya ya kununua mafuta kwa dhahabu, badala ya akiba ya Dola za Marekani ili…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Mradi wa SGR ukamilike kwa wakati

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) na kwamba Serikali…

Soma Zaidi »

Mfumo wa umilikishwaji fukwe kupitiwa upya

NAIBU  Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja  amesema Wizara ya Maliasili na Utalii imependekeza kupitiwa upya kwa mfumo wa…

Soma Zaidi »

Jukwaa la Wakulima Afrika laipa 5 Tanzania

JUKWAA la Kikanda la Wakulima, Kusini mwa Afrika limempongeza serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa ongezeko kubwa la…

Soma Zaidi »

BOT kushusha riba hadi 9%

BENKI Kuu Tanzania (BOT) inaendelea kuchukua hatua mbali mbali ili  kushusha riba hadi asilimia 9 . Hayo yamesema na Gavana…

Soma Zaidi »
Back to top button