Uchumi

Tanzania njia nyeupe mabadiliko endelevu ya kidijitali

Tanzania inatekeleza mfumo wa Taifa wa Uchumi wa Kidijitali ambao utahakikisha sekta zote za uchumi zinatumia Teknolojia ya Habari na…

Soma Zaidi »

‘Royal Tour’ yazinduliwa Sweden  

Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake uliopo Sweden imezindua filamu ya Royal Tour jijini Stockholm kwa lengo la kuwavutia watalii kutembelea vivutio mbalimbali…

Soma Zaidi »

Watanzania 900 wapata ajira Saudi Arabia

BALOZI wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir Mwadini amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda…

Soma Zaidi »

Taasisi yaja na mbinu ya kuwainua wajasiriamali, wastaafu

KATIKA kuwainua kibiashara wajasiriamali wadogo na wa kati pamoja na wastaafu nchini, Taasisi ya Fedha ya Lesthego imekuja na mbinu…

Soma Zaidi »

‘CTW ni fursa nzuri kwa wafanyabiashara’

WAFANYABIASHARA nchini na wananchi, wametakiwa kutumia vyema maonesho ya CTW Tanzania 2022, yaliyoanza jana ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es…

Soma Zaidi »

Marekani kuiwezesha NIT umaahili wa barabara

CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kipo katika mazungumzo na Mamlaka ya Barabara (FHWA) ya serikali ya Marekani ili kukiwezesha…

Soma Zaidi »

Tanzania yataka kuwa kitovu tehama Afrika 

SERIKALI imesema imedhamiria kuiweka Tanzania katika maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) duniani. Katibu Mkuu wa Wizara ya…

Soma Zaidi »

Ujenzi viwanja vya ndege kuongeza kasi ya uchumi

SERIKALI imesaini mkataba wa Sh bilioni 165 kujenga Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato mkoani Dodoma. Ujenzi huo unatekelezwa…

Soma Zaidi »

EAC yatakiwa kurahisisha usafiri wa anga

JUKWAA la Utalii la Afrika Mashariki (EATP) limezitaka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuondoa vikwazo katika matumizi…

Soma Zaidi »

Profesa: Ukuaji uchumi umeongeza mabilionea EAC

MTAALAMU wa uchumi ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Humphrey Moshi amesema kuchomoza…

Soma Zaidi »
Back to top button