Uchumi

Japan kununua kilo milioni 30 za tumbaku Tanzania

KAMPUNI ya Japan Tobacco Incorporation (JTI), imeahidi kununua kilo milioni 30 za tumbaku kutoka kwa wakulima wa Tanzania msimu ujao…

Soma Zaidi »

TRA yataka somo la kodi mitaala ya elimu

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), wamekutana na kamati ya Kitaifa ya uboreshaji wa Mitaala  inayoongozwa na Prof.Makenya Maboko jijini Dodoma…

Soma Zaidi »

TPA yaiwekea mikakati Bandari ya Bagamoyo

MAMLAKA  ya Usimaizi Bandari nchini (TPA), imesema iko katika maandalizi ya  ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, itakayosaidia utoaji wa huduma…

Soma Zaidi »

TTB, Njombe waipangia mikakati hifadhi ya Kitulo

BODI ya Utalii nchini (TTB), imepanga kuinua utalii uliopo  Nyanda za Juu  Kusini, husuani mkoa wa Njombe katika hifadhi  ya…

Soma Zaidi »

Wahandisi watakiwa kuchangamkia fursa za miradi

SERIKALI imeahidi kuendeleza, kuibua, kutambua, kukuza na kuendeleza ubunifu unaofanywa na wahandisi wazawa kwa maendeleo endelevu ya Taifa. Waziri wa…

Soma Zaidi »

TARURA: Ujenzi kwa teknolojia ya mawe huokoa gharama

WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), imesema ujenzi wa barabara na madaraja kwa kutumia teknolojia ya mawe na…

Soma Zaidi »

Ujenzi barabara ya mchepuko mbioni kuanza

WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Ruvuma, iko katika hatua za mwisho za kuanza ujenzi wa barabara ya mchepuko…

Soma Zaidi »

Mkandarasi akabidhiwa ujenzi bwawa

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amemkabidhi mkandarasi aliyeshinda zabuni mradi wa ujenzi wa bwawa litakalotumika kwa kilimo cha…

Soma Zaidi »

Bil 20/- kufikisha maji Bandari ya Kwala

WIZARA ya Maji imeridhia kutoa Sh bilioni 20 kwa ajili ya mradi wa maji katika bandari kavu ya Kwala iliyopo…

Soma Zaidi »

ACT-Wazalendo yaunga msimamo bomba la mafuta

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimelitaka Bunge la Ulaya kuondoa azimio la kutaka kusitishwa kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta…

Soma Zaidi »
Back to top button