Uchumi

Sh tri.121 zaokolewa matumizi gesi asilia

SERIKALI imeokoa kiasi cha shilingi trilioni 121, sawa na dola za Marekani bilioni 52 tangu kuanza kutumia nishati ya gesi…

Soma Zaidi »

Serikali kutathmini gharama ya vyakula sokoni

SERIKALI imeweka wazi kuwa inatambua mwenendo wa gharama ya chakula sokoni na hivyo inaendelea kufanya tathmini kupata uhalisia wa kiwango…

Soma Zaidi »

Taasisi za serikali zabanwa ukusanyaji mapato

SERIKALI imezitaka wizara, idara zinazojitegemea na taasisi za serikali zinazokusanya mapato yasiyo ya kodi, kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato…

Soma Zaidi »

Bil 90/- kunufaisha wakulima wa korosho

SERIKALI imetoa Sh bilioni 90 kwa ajili ya kutoa ruzuku ya viuatilifu kwa ajili ya wakulima wa korosho katika msimu…

Soma Zaidi »

Ufugaji samaki Rungwe wazalisha ajira 729

MRADI wa ufugaji samaki wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, umefanikiwa kuzalisha ajira 729, baada ya wananchi kupewa mafunzo ya kuendeleza ujuzi…

Soma Zaidi »

HABARI KUU: Oktoba 6, 2022

Mkusanyiko wa Habari Kuu kutoka chumba cha HabariLEO jijini Dar es Salaam leo Oktoba 6, 2022 jioni.

Soma Zaidi »

HABARI KUU: Oktoba 5, 2022

Mkusanyiko wa Habari Kuu kutoka chumba cha HabariLEO jijini Dar es Salaam leo Oktoba 5, 2022 jioni.

Soma Zaidi »

TPDC waanza utekelezaji bomba la gesi Mtwara

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), limeanza kutekeleza hatua za  kuanza ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi asilia, lenye…

Soma Zaidi »

Waaswa kukomesha migogoro wachimbaji wadogo, wawekezaji

WAZIRI wa Madini, Dk Doto Biteko, amewaasa wanajiolojia kuacha tabia ya kuleta migogoro, baina ya wawekezaji na wachimbaji wadogo wa…

Soma Zaidi »

Makusanyo ya kodi Geita yaimarika

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) mkoani Geita, imesema makusanyo ya kodi mkoani hapa yameimarika kwa asilimia 67.53 kwa robo ya…

Soma Zaidi »
Back to top button