Uchumi

Korosho tani 20,000 kupelekwa mnadani

TANI 20,000 za korosho ghafi zinatarajiwa kupelekwa kwenye mnada wa pili msimu wa mauzo 2022/2023, ambao unaanza leo sehemu mbalimbali…

Soma Zaidi »

Wawekezaji waitwa kurudisha Tanga ya viwanda

HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imetenga eneo la ardhi lenye ukubwa wa hekta 5635, kwa àjili ya uwekezaji sekta mbalimbali…

Soma Zaidi »

 Waziri Mkuu atembelea eneo yanapojengwa mabehewa ya SGR

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo na kasi ya ujenzi wa mabehewa mapya kwa ajili Reli ya Kisasa…

Soma Zaidi »

‘Tunafuatilia bei ya korosho soko la dunia’

BODI ya Korosho nchini (CBT), imesema inaendelea kufuatilia mwenendo wa bei ya korosho soko la dunia na kutoa taarifa, ili…

Soma Zaidi »

Serikali yapewa mbinu kuteka soko DRC

WACHAMBUZI wa masuala ya diplomasia na uchumi wameishauri serikali iweke mikakati ya kunufaika na soko la dhahabu katika Jamhuri ya…

Soma Zaidi »

TRA yawafunda wafanyabiashara Nyang’hwale

MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), mkoani Geita, imewaomba wafanyabiashara wilayani Nyang’hwale kusajili na kurasimisha biashara zao kwa kupata Namba ya…

Soma Zaidi »

Samia aandika historia Kigoma

RAIS Samia Suluhu Hassan ameweka historia mkoani Kigoma kwa kuzima majenereta yaliyokuwa yakitumia Sh bilioni 52 kufua umeme huku mapato…

Soma Zaidi »

Viwanda zaidi bidhaa za afya kujengwa

Katika kuhakikisha upatikanaji wa dawa pamoja na vifaa tiba vinapatikana kwa wingi na kwa gharama nafuu, serikali imekamilisha ujenzi wa…

Soma Zaidi »

Watakiwa wasiwageuze mtaji waliomaliza la saba

WAZAZI na walezi wenye watoto waliohitimu darasa la saba Wilaya Mpanda,  mkoani Katavi wametakiwa wasiwageuze watoto wao mtaji wa kujiingizia…

Soma Zaidi »

Mikataba ya Sh bilioni 375.5 yasainiwa ununuzi wa pembejeo Mtwara

KAMATI ya pamoja ya ununuzi wa pembejeo za zao la korosho na wazabuni wamesaini mkataba wenye thamani ya Sh bilioni…

Soma Zaidi »
Back to top button