Uchumi

HABARI KUU: Oktoba 5, 2022

Mkusanyiko wa Habari Kuu kutoka chumba cha HabariLEO jijini Dar es Salaam leo Oktoba 5, 2022 jioni.

Soma Zaidi »

TPDC waanza utekelezaji bomba la gesi Mtwara

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), limeanza kutekeleza hatua za  kuanza ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi asilia, lenye…

Soma Zaidi »

Waaswa kukomesha migogoro wachimbaji wadogo, wawekezaji

WAZIRI wa Madini, Dk Doto Biteko, amewaasa wanajiolojia kuacha tabia ya kuleta migogoro, baina ya wawekezaji na wachimbaji wadogo wa…

Soma Zaidi »

Makusanyo ya kodi Geita yaimarika

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) mkoani Geita, imesema makusanyo ya kodi mkoani hapa yameimarika kwa asilimia 67.53 kwa robo ya…

Soma Zaidi »

Wakabidhiwa vyerehani Katavi

HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, imekabidhi vyerehani vinne  kwa kikundi cha vijana cha Umoja wa Mafundi Nguo kutoka…

Soma Zaidi »

Mafundi 1000 kupatiwa elimu ya upauaji

MAFUNDI zaidi ya 1000 nchini, watapatiwa elimu kuhusu masuala ya upauaji wa nyumba. Hayo yamesemwa leo na Meneja wa Kampuni…

Soma Zaidi »

DC Jokate awataka wananchi kuondoka vijiweni

MKUU wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amewataka wananchi anaowaongoza kuondokana vijiweni na kuchangamkia fursa za ajira. Jokate ameyasema hayo…

Soma Zaidi »

Matajiri wa Misri wajadili fursa za uwekezaji Tanzania

JUMLA ya kampuni  34 kutoka Misri zimeshiriki Mkutano wa Kibiashara jijini Dar es Salaam kwa lengo la kutafuta fursa za…

Soma Zaidi »

Tanzania kukopeshwa bil 979/- za miradi

MFUKO wa Maendeleo wa Abu Dhabi wa Umoja wa Falme za Kiarabu, umeahidi kutoa mkopo nafuu kwa ajili ya utekelezaji…

Soma Zaidi »

HABARI KUU: Septemba 29, 2022

Mkusanyiko wa Habari Kuu kutoka chumba cha HabariLEO jijini Dar es Salaam leo Septemba 29, 2022

Soma Zaidi »
Back to top button