Uwekezajia

Tanzania kuboresha mazingira ya uwekezaji

DAR ES SALAAM :WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali itaendelea kuwaunga mkono wawekezaji na wafanyabiashara kuhakikisha wanapata manufaa makubwa kwenye…

Soma Zaidi »

Wawekezaji sekta ya mawasiliano wakaribishwa Tz

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mohammed Khamis Abdulla amesema wizara hiyo ipo tayari kushirikiana…

Soma Zaidi »

REB yahimiza wakandarasi wazawa kujenga uwezo

BODI ya Nishati Vijijini(REB) imewahimiza wakandarasi wazawa kujenga uwezo, umahiri na weledi pindi wakabidhiapo miradi na Wakala wa Nishati Vijijini(REA).…

Soma Zaidi »

Serikali kuboresha mazingira ya uwekezaji

WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Lameck Nchemba ameihakikishia Jumuiya ya Kimataifa na Watanzania kwa ujumla kwamba serikali inaendelea kuweka na kuboresha…

Soma Zaidi »

Wadau wekezeni kwenye sekta za kilimo na viwanda

DODOMA : Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander Mkumbo(Mb.), alitoa wito huu katika mazungumzo…

Soma Zaidi »

TCB yajivunia mafanikio mradi wa SGR

DAR ES SALAAM:  Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imesema inajivunia kuwa sehemu ya mradi wa reli ya kisasa (SGR) uliozinduliwa hivi…

Soma Zaidi »

Bil 650/-kutumika upanuzi Kilombero

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Selemani Jafo ameupongeza uongozi wa kiwanda cha sukari Kilombero mkoani Morogoro kwa uwekezaji mkubwa…

Soma Zaidi »

TAA yaita wawekezaji viwanja vya ndege

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Nchini (TAA), imewataka Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na uwekezaji zilizopo katika…

Soma Zaidi »

Yusuf Manji kuzikwa leo Florida

MAREKANI – ALIYEKUWA mwenyekiti na mfadhili wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji atazikwa leo Florida nchini Marekani, familia yake imesema.…

Soma Zaidi »

Prof Bisanda asisitiza utunzaji rasimali Chuo Kikuu huria

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Profesa Elifas Bisanda amesisitiza utunzaji sahihi wa rasilimali za chuo hicho…

Soma Zaidi »
Back to top button