Uwekezajia

Samia: Tanzania ni tajiri wa madini

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ina utajiri wa madini hivyo anataka umakini kuchagua washirika wa kuvuna fursa ya utajiri…

Soma Zaidi »

Mwekezaji Singida alia na mgogoro uliodumu miaka 28

MWEKEZAJI mzawa Leonard Suih, aliyejenga majengo ya biashara ya kitega uchumi yenye thamani ya Shilingi milioni 700 mkoani Singida, amemuomba…

Soma Zaidi »

Serikali: Wapinzani kaoneni miradi

SERIKALI imeagiza viongozi wa vyama vya siasa waendele kutembelea miradi ya kimkakati. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,…

Soma Zaidi »

Uchumi wapaa, pato lafikia Sh trilioni 200

TAKWIMU mpya za Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania (GDP) kwa bei ya…

Soma Zaidi »

TIC yatoa huduma kwa miradi 1,038

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimetoa huduma zinazotakiwa kwa miradi 1,038 ya wawekezaji sawa na asilimia 81.7 kati ya miradi…

Soma Zaidi »

Mambo yaiva ujenzi SGR Tanzania, Burundi

MCHAKATO wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Tanzania hadi Burundi umeanza kufuatia kutangazwa kwa zabuni ya ujenzi wa…

Soma Zaidi »

Samia agusa wengi hatua ripoti CAG

VYAMA vya siasa, wachumi na wananchi ndani na nje ya nchi wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuanza kuchukua hatua…

Soma Zaidi »

Sh milioni 200 zatengwa majukwaa ya wanawake

KWA mwaka 2023/24, Serikali imetenga Sh milioni 200 kwa ajili ya kugharamia majukwa ya wananake. Haya yameelezwa jijini Dodoma na…

Soma Zaidi »

Ziara Makamu wa Rais Marekani yaleta neema

SERIKALI ya Marekani imeahidi kujenga kiwanda  kikubwa nchini Tanzania cha kuchakata madini aina ya nickel yatakayotumika kutengeneza betri za gari…

Soma Zaidi »

China tayari kuboresha miundombinu ya Tazara

SERIKALI ya China imesema ipo tayari kuboresha miundombinu ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) iwe na tija zaidi. Naibu…

Soma Zaidi »
Back to top button