Featured

Featured posts

Boti yapinduka yaua watumishi 6 Kigoma

KIGOMA; WATUMISHI sita wa Idara ya Afya halmashauri ya Wilaya Kigoma mkoani Kigoma wamekufa, baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoka…

Soma Zaidi »

‘Kuna ongezeko kubwa wagonjwa wa figo nchini’

DAR ES SALAAM : Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH)  imeadhimisha siku ya Figo Duniani inayofanyika Alhamisi ya pili ya…

Soma Zaidi »

Samia kuzindua mfuko kuwezesha vijana sekta ubunifu

ARUSHA; WIZARA ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetangaza kuzindua rasmi Mfuko wenye jumla ya Sh Bilioni 50 kwa ajili…

Soma Zaidi »

Idd kitaifa Dar, Samia mgeni kwenye Baraza

DAR ES SALAAM: SHEREHE za Sikukuu ya Eid el-Fitri zinatarajiwa kuwa  Machi 20 au 21. 2026 kutegemea mwandamo wa mwezi.…

Soma Zaidi »

Sekta binafsi kuchangia tril 60/- Mpango wa Maendeleo

SERIKALI imesema sekta binafsi inatarajiwa kuchangia Sh trilioni 60.1 katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2026/2027 ambazo ni…

Soma Zaidi »

Samia: Tutaendelea kulinda amani

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itaendelea kulinda amani, umoja wa kitaifa na utulivu wa kisiasa. Alisema hayo alipopokea salamu…

Soma Zaidi »

Rais Samia amuasili mtoto aliyetelekezwa Nzega

DODOMA: Rais Dk Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo Machi 11, 2026 Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Mtoto…

Soma Zaidi »

Mamkwe ahimiza ushiriki wa wanawake sekta za maendeleo

Kongwa, Dodoma: Wajiriwa wanawake wanaofanya kazi Wizara ya Mifugo na Uvuvi waliungana na wenzao kuadhimisha Siku ya Mwanamke Duniani katika…

Soma Zaidi »

Wabunge Chato kortini tuhuma za rushwa

GEITA; TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Geita, wabunge wa…

Soma Zaidi »

IGP mstaafu Mahita atimiza umri wa miaka 80

MOROGORO; MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu Omari Mahita (kulia), akiwa na Diwani wa Kata ya Kariakoo Dar es…

Soma Zaidi »
Back to top button